Watu wa mamlaka ya sanaa pigeni marufuku Bongo Star Search

Mi naonaga machalii wa R ndio wanaongoza kuchekwa pale BSS

Yan wanayacheka mpaka mashati yao just imagine
 
Habari zenu wakuu,

Nimeamua Leo kuleta mada hii haswa mamlaka pigeni marufuku shindano la BSS kwa sababu hakuna anaestahili kuwa jaji pale na ndio maana pamoja na serikali yetu haina mpngo mbdala wa kuzalisha wasanii ila ndani ya nchi yetu kila mwenye pesa anaenda studio.

Hebu tuangalie nchi za wenzetu jinsi wanavyotafuta waimbaji hakuna jaji hata mmoja anaemwambia mshiriki una sauti mbaya ila hapa kwetu jaji anatamka wazi anakwambia huwezi kuimba sasa ukiangalia huyo jaji wenyewe hata chombo kimoja cha muziki hawezi piga

Tujaribu kuangalie wahindi wanapotafuta waimbaji wale majaji ni watu walioshiba.

Ni wasanii wakubwa hata ukiangalia nyimbo zao youtube utapata ushahidi kwa mfano jaji awe Himesh Reshmiya

Au Sonu Nigam
Au Udit Narayan
Au Kumar Sanu

Hapo ikitokea MTU ameshinda hawezi potea sasa hawa majaji wetu sasa Sijui wametokea kwenye kitengo gani kuhusu Sanaa au uimbji au kwakuwa maarufu hapa kwetu
nimesikitika sana leo nkiwa naagalia marudio ya BSS aisee ..mshiriki anaambiwa hana mvuto, ana sura mbaya na habebeki ....Hizi kauli siyo nzuri halafu anaabiwa binti wa miaka 20

SIJAPENDA

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Imfikie judge lesbo wa zenj,yule boya nahisi BSS ndio anatolea stress zake za maisha anadhalilisha watu sana!! ***** zake na sura yake nzito kama kimba
 
Wapo waliosema hawana vipaji leo ndio wanatafuna pesa hao BSS wapo kukatisha ndoto za vijana kwa asilimia kubwa..
Ndivyo maisha yalivyo kwani wewe shuleni hakukuwa na watu wanafail lakini leo wamefaulu maisha? Sasa kama mtu hajui unataka aambiwe nini zaidi ya kuambiwa hajui?
 
Mimi ni mfuatiliaji wa AGT na The Voice, wale jamaa huwa wastaarabu sana hata kama unafanya ujinga kwenye stage.
Ni mara chache unaweza kuta washiriki ni wakorofi hivyo majaji hureact lakini sio kwa matusi bali huitwa security.

Pia kingine mara nyingi ni watu wenye elimu ya music au uzoefu kwenye hiyo sector hivyo wanajua wanchokifanya na wanachokitafuta.
Unaweza kuta mtu ata sauti ya kuongea haitoki, au akiimba sauti inatetema kama tractor lakini badala ya majaji kuwa mean wanakuwa mentor na kuwaambia nini cha kufanya na wapi wanakosea.
wafanye mazoezi zaidi pia warudi tena mwaka mwingine kuja kujaribu tena.

Kwenye The Voice utakuta jaji anamuambia mshiriki jinsi gani ya kuimba au asimame vipi na ashikilie chombo vipi.

Wako so professional na serious na wanachokifanya.

Huku kwetu BSS ni kama comedy au kipindi cha kuaibisha, udharirishaji na kubeza watu wanaojaribu na kuwacheka (humiliation tv show)
Maana ya kuwa jaji yes ni kukosoa lakini sio kukosoa kwa kumuaibisha mtu na kumbeza au kumgeuza kituko.

Mfano jaji anaingia chini ya meza makusudi, anacheka mpaka kuinamia meza, kumwambia huna kipaji unajisumbua bure.
Au kama walivyomwambia harmonize kwamba hana kipaji na anaharibu wimbo wa malaika (fvkthem sasahivi harmonize ana pesa na kipaji kushinda wao wala huyo muimbaji wa malaika haoni ndani hata kwa microscope wala hajulikani alipo)

Kuimba sio kipaji tu bali ni mazoezi mengi ili kujua uwezo wako na udhafu wako na uzeofu wa kutosha wa kuweza kucontrol vocal cords zako.
badala ya kumwambia mshiriki nini cha kufanya, wapi anakosea ili ajirekebishe badala yake wanamfanya ajione sio chochote na akate tamaa.
Wako so unprofessional ni kuuza sura na uswahili mwingi na mambo mengine ya kijinga.

Solution ni watokee watu wengine walio serious na wanachokifanya.
Hawa madogo wameshangaa kweli wananiuliza dad unacheka nini peke yako
 
Mimi ni mfuatiliaji wa AGT na The Voice, wale jamaa huwa wastaarabu sana hata kama unafanya ujinga kwenye stage.
Ni mara chache unaweza kuta washiriki ni wakorofi hivyo majaji hureact lakini sio kwa matusi bali huitwa security.

Pia kingine mara nyingi ni watu wenye elimu ya music au uzoefu kwenye hiyo sector hivyo wanajua wanchokifanya na wanachokitafuta.
Unaweza kuta mtu ata sauti ya kuongea haitoki, au akiimba sauti inatetema kama tractor lakini badala ya majaji kuwa mean wanakuwa mentor na kuwaambia nini cha kufanya na wapi wanakosea.
wafanye mazoezi zaidi pia warudi tena mwaka mwingine kuja kujaribu tena.

Kwenye The Voice utakuta jaji anamuambia mshiriki jinsi gani ya kuimba au asimame vipi na ashikilie chombo vipi.

Wako so professional na serious na wanachokifanya.

Huku kwetu BSS ni kama comedy au kipindi cha kuaibisha, udharirishaji na kubeza watu wanaojaribu na kuwacheka (humiliation tv show)
Maana ya kuwa jaji yes ni kukosoa lakini sio kukosoa kwa kumuaibisha mtu na kumbeza au kumgeuza kituko.

Mfano jaji anaingia chini ya meza makusudi, anacheka mpaka kuinamia meza, kumwambia huna kipaji unajisumbua bure.
Au kama walivyomwambia harmonize kwamba hana kipaji na anaharibu wimbo wa malaika (fvkthem sasahivi harmonize ana pesa na kipaji kushinda wao wala huyo muimbaji wa malaika haoni ndani hata kwa microscope wala hajulikani alipo)

Kuimba sio kipaji tu bali ni mazoezi mengi ili kujua uwezo wako na udhafu wako na uzeofu wa kutosha wa kuweza kucontrol vocal cords zako.
badala ya kumwambia mshiriki nini cha kufanya, wapi anakosea ili ajirekebishe badala yake wanamfanya ajione sio chochote na akate tamaa.
Wako so unprofessional ni kuuza sura na uswahili mwingi na mambo mengine ya kijinga.

Solution ni watokee watu wengine walio serious na wanachokifanya.
Hizi ni tabia za kijinga badala ya kumtia moyo na ushauri afanyaje sisi kazi yetu ni kukosoa tu na hii tabia ipo maeneo mengi mno hapa kwetu
 
Mtoa mada hakuna unachojua. Master J ni mtayarishaji wa mziki, mkongo ni mtaalam wa vocal, na dullysykes wote waimbaji hivo chief jaj ndo haimbi ja salama ila wengine ni wanamziki professional. Masterj ni sound engineer
 
Ndivyo maisha yalivyo kwani wewe shuleni hakukuwa na watu wanafail lakini leo wamefaulu maisha? Sasa kama mtu hajui unataka aambiwe nini zaidi ya kuambiwa hajui?
Mmekaa kukatishana tamaa tuu ndio maana life inakua ngumu kwa watu wengi tembea tembea kidogo uone baadhi ya maeneo na Nchi zingine wanavyowasaidia vijana wao...
 
hiyo bongo star search kwio hiyo, wanaoshinda huko mbona hawafikagi popote? wakishakabiziwa pesa tuu na kuimba kwishne. Wanaokuja kutoboa ni yale ambayo hata hayajui maana ya bongo star search au wale waloshindwa kabisa bongo star search kama kina dimond na harmonize

bongo star search haisaidiii lolote ovyooooo, sema ni hizo pesa tuu zinamendewa na mijaji yenyewe inaweka watu wao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom