Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,656
- 21,079
Wewe na akili yako unakaa unawasikiliza Wahindi? Bora nimsikilize Mwijaku kuliko kukusikiliza wewe msikiliza wahindi.
Wale wavuta bangi wa Arusha waambiwe tu kweli hawajui mziki wakatafute shughuli zingine za msingi za kufanya haina kuremba.
Mwisho sio jukumu la serikali kuzalisha wasanii hata huko nje sio jukumu la serikali hilo. Popote pale mwenye hela ya kuingia studio anaingia studio ndio maana leo hii unawasikia kina lil lil kibao wa US redioni ambao hata mizungu wenyewe hawaelewi wanasema nini.
Wale wavuta bangi wa Arusha waambiwe tu kweli hawajui mziki wakatafute shughuli zingine za msingi za kufanya haina kuremba.
Mwisho sio jukumu la serikali kuzalisha wasanii hata huko nje sio jukumu la serikali hilo. Popote pale mwenye hela ya kuingia studio anaingia studio ndio maana leo hii unawasikia kina lil lil kibao wa US redioni ambao hata mizungu wenyewe hawaelewi wanasema nini.