Bzimana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 551
- 156
Wiki iliyopita nilimsindikiza rafiki yangu dereva kupeleka mzigo Kigoma.
Kusema ukweli barabara yenu ni mbovu sana wala hata haifai, kuanzia nyakanazi hadi maeneo fulani kasulu panatisha yaani barabara yenu ni ya vumbi tupu mashimo njiani, miji yenu huwezi kupiga kiwi kiatu wala kuvaa nguo nyeupe, kumbe ndio maana watu wa kigoma mmezagaa ovyo miji ya watu.
Mnavyakula vya kutosha, niliulizia pande la muwa futi kama 6 nikaambiwa 150, ndizi 6 tsh 200 nilishangaa, kigoma nini mliitendea serikali ya CCM Mimi naona Kigoma bado hamjapata uhuru na sijui wabunge wenu wanafanya nini bungeni.
Kusema ukweli barabara yenu ni mbovu sana wala hata haifai, kuanzia nyakanazi hadi maeneo fulani kasulu panatisha yaani barabara yenu ni ya vumbi tupu mashimo njiani, miji yenu huwezi kupiga kiwi kiatu wala kuvaa nguo nyeupe, kumbe ndio maana watu wa kigoma mmezagaa ovyo miji ya watu.
Mnavyakula vya kutosha, niliulizia pande la muwa futi kama 6 nikaambiwa 150, ndizi 6 tsh 200 nilishangaa, kigoma nini mliitendea serikali ya CCM Mimi naona Kigoma bado hamjapata uhuru na sijui wabunge wenu wanafanya nini bungeni.