Watu wa Kaskazini tujenge treni yetu ya umeme ya SGR

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,990
17,878
Kusema kweli kuna umuhimu mkubwa wa kanda ya Kaskazini na mipakani kuwa na treni ya umeme ya Sgr

Nasema hayo maana Kaskazini ni route ya uhakika ya usafiri na kila mwaka demand inaongezeka

Nadhani kuna haja ya sisi wana kanda ya Kaskazini tukakaa na kupanga namna ya kuleta miradi mikubwa kanda hii hususan kujenga treni ya umeme hadi Kaskazini mwa nchi Kilimanjaro, Arusha na Manyara pia na baadhi ya maeneo ya Tanga

Tatizo la Serikali ya awamu ya tano sio wasikivu kwanza ile treni ilitakiwa iende Kigoma, lakini ghafla ikabadilishwa ikaenda Mwanza sio fair watu wa Kigoma, Congo, Burundi tumewapotezea kisa kuithamini Rwanda yenye watu milioni kumi tu huku tukipuuza Congo, Burundi zenye watu zaidi ya milioni 200+

Mwanza Kwanza Tanga ikipita faida ya bandari ya Tanga tungeiona faida ya bandari na boder yake na mombasa

Pia Moshi tungevuna abiria wengi sana pia holili mpakani na Kenya na Tarakea pangechangamka sana

Ukija Arusha pia ina usafiri mwingi pia border la Namanga ni faida hiyo hapo mpaka ikafike Mwanza ni faida kubwa mnooo

Lakini watawala mmelifumbia macho tu

Nawaomba wazawa wa Kaskazini tufikirie mpango wa kujenga reli yetu ya kisasa ya umeme maana hatutegemei Serikali wala haijawahi kutusaidia maendeleo tunajiletea wenyewe naamini tutaweza.
 
Kusema kweli kuna umuhimu mkubwa wa kanda ya Kaskazini na mipakani kuwa na treni ya umeme ya Sgr

Nasema hayo maana Kaskazini ni route ya uhakika ya usafiri na kila mwaka demand inaongezeka

Nadhani kuna haja ya sisi wana kanda ya Kaskazini tukakaa na kupanga namna ya kuleta miradi mikubwa kanda hii hususan kujenga treni ya umeme hadi Kaskazini mwa nchi Kilimanjaro, Arusha na Manyara pia na baadhi ya maeneo ya Tanga

Tatizo la Serikali ya awamu ya tano sio wasikivu kwanza ile treni ilitakiwa iende Kigoma, lakini ghafla ikabadilishwa ikaenda Mwanza sio fair watu wa Kigoma, Congo, Burundi tumewapotezea kisa kuithamini Rwanda yenye watu milioni kumi tu huku tukipuuza Congo, Burundi zenye watu zaidi ya milioni 200+

Mwanza Kwanza Tanga ikipita faida ya bandari ya Tanga tungeiona faida ya bandari na boder yake na mombasa

Pia Moshi tungevuna abiria wengi sana pia holili mpakani na Kenya na Tarakea pangechangamka sana

Ukija Arusha pia ina usafiri mwingi pia border la Namanga ni faida hiyo hapo mpaka ikafike Mwanza ni faida kubwa mnooo

Lakini watawala mmelifumbia macho tu

Nawaomba wazawa wa Kaskazini tufikirie mpango wa kujenga reli yetu ya kisasa ya umeme maana hatutegemei Serikali wala haijawahi kutusaidia maendeleo tunajiletea wenyewe naamini tutaweza.
Tupe bajeti mchango ianze mara moja
 
Najiuliza sana hili swali kwanini watu wa mkoa wa KILIMANJARO ni WABAGUZI,WENYE MAJIVUNO,WAPENDA SIFA,WENYE DHARAU na hupenda kujiona superior kuliko makabila mengine
 
Kusema kweli kuna umuhimu mkubwa wa kanda ya Kaskazini na mipakani kuwa na treni ya umeme ya Sgr

Nasema hayo maana Kaskazini ni route ya uhakika ya usafiri na kila mwaka demand inaongezeka

Nadhani kuna haja ya sisi wana kanda ya Kaskazini tukakaa na kupanga namna ya kuleta miradi mikubwa kanda hii hususan kujenga treni ya umeme hadi Kaskazini mwa nchi Kilimanjaro, Arusha na Manyara pia na baadhi ya maeneo ya Tanga

Tatizo la Serikali ya awamu ya tano sio wasikivu kwanza ile treni ilitakiwa iende Kigoma, lakini ghafla ikabadilishwa ikaenda Mwanza sio fair watu wa Kigoma, Congo, Burundi tumewapotezea kisa kuithamini Rwanda yenye watu milioni kumi tu huku tukipuuza Congo, Burundi zenye watu zaidi ya milioni 200+

Mwanza Kwanza Tanga ikipita faida ya bandari ya Tanga tungeiona faida ya bandari na boder yake na mombasa

Pia Moshi tungevuna abiria wengi sana pia holili mpakani na Kenya na Tarakea pangechangamka sana

Ukija Arusha pia ina usafiri mwingi pia border la Namanga ni faida hiyo hapo mpaka ikafike Mwanza ni faida kubwa mnooo

Lakini watawala mmelifumbia macho tu

Nawaomba wazawa wa Kaskazini tufikirie mpango wa kujenga reli yetu ya kisasa ya umeme maana hatutegemei Serikali wala haijawahi kutusaidia maendeleo tunajiletea wenyewe naamini tutaweza.
Kaskazin kama Paris yani
 
Back
Top Bottom