Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,911
- 6,001
Rais wetu tunampenda sana, na kwa muda mfupi amechapa kazi sana tena iliyotukuka. Ila kama ilivyoada kwa binadamu wote, ukifanya sana kazi kuna wakati unachoka na mwili unahitaji mapumziko ya kutosha.
Kuna video inasambaa kuke twitter imepostiwa kwa Maria Sarungi Ikimuonesha Rais Samia almanusura adondoke akiwa pale Lugalo tena katika vazi la kombati, inaonekana wazi kabisa mama amechoka kutokana na majukumu kuongozana.
Hivyo kama itawapendeza nawaomba mumpe likizo walau ya wiki mbili avute nguvu ili aendelee kututumikia sisi Watanzania kwa nguvu zote!
Kuna video inasambaa kuke twitter imepostiwa kwa Maria Sarungi Ikimuonesha Rais Samia almanusura adondoke akiwa pale Lugalo tena katika vazi la kombati, inaonekana wazi kabisa mama amechoka kutokana na majukumu kuongozana.
Hivyo kama itawapendeza nawaomba mumpe likizo walau ya wiki mbili avute nguvu ili aendelee kututumikia sisi Watanzania kwa nguvu zote!