luziiii
Member
- Jan 14, 2018
- 43
- 49
Nawapenda watu wairinga, ilamnanikela,hakuna mlefu wote wafupi wake kwa waume .wanawake oleweni namakabila mengine mchanganye mbegu
Wanaume hamjuikutongoza makabila mengine? changanyeni mbegu.mbona pesa mnajua kutafuta,mnaogopa nini kuoa hatajirani zenu kule tukuyu mbona hawanasifa yakumkataa mtu
Wanaume hamjuikutongoza makabila mengine? changanyeni mbegu.mbona pesa mnajua kutafuta,mnaogopa nini kuoa hatajirani zenu kule tukuyu mbona hawanasifa yakumkataa mtu