Kapyepye Mfyambuzi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 542
- 918
Mkuu hilo ndio jibu nilikuwa nalitafuta toka mwanzo nilipoanza kupitia comments za wachangiaji. Jibu lako ni kweli 100%,Tutazunguka koote lakini yote inahusu kuiamsha Peneal gland ambayo inafungua jicho la tatu lenye uwezo wa kuona mambo katika ulimwengu wa kiroho. Mtu ambaye tayari ameshaiactivate hiyo penael gland anapata picha ya mikakati yako (ukiwazacho, unachotaka kufanya) na mpaka kimwili una strength nguvu kiasi gani na hapo anajua kabisa jinsi ya kukukabili.
Wengi wao wakushafungua jicho hili la tatu, utumiaji wa nguvu za giza unaongezwa. Usijethubutu kupanga kumdhulu kiongozi mkubwa wa nchi anayelindwa na wale jamaa, wamefukizwa, kuzindikwa mpaka sijui nisemaje ila ndo hivyo imeeleweka
Peneal gland ndo mambo yote