Watu wa dizaini kama hii mnawaitaje eti

Tozii Nyambii

Senior Member
Apr 1, 2017
144
77
Mimi Nina hali moja hivi yaani Nina uwezo Wa kumsoma MTU mda mfupi saana yaani nikikutana nae tuu au nikishikana nae mkono nikimwangalia namjua yupoje na pia na nia yake ni IPI kwangu na sijawahi kukosea


Hiii hali imenifanya mpka sasa sijawahi kukataliwa na binti aina yeyote ile wala sijawahi kulizwa wala kusemwa vibaya kwa sababu

MTU mbaya namgundua mapema sana kama kuna binti ananipenda natambua hilo mapema sana na nkumuambia tuu ukweli kua nampenda hakatai anakubali ,pia MTU ambae ana nia mbaya na mimi natambua mwenye nia mzuri natambua mapema mnoo mpka najiuliza Mimi nipoje

Eti wataalamu watu Wa aina Yangu wanaitwaje?
 
ni upepo tu umekupitia wala huna u special wowote. kuna kipindi hata mimi huwa najihisi nna undugu na diddy maana kila demu nkiomba hachomoi.

kuna kipindi nachezea vibuti mpaka nahisi masudi sura mbaya anatembelea nyota yangu.
 
Mimi Nina hali moja hivi yaani Nina uwezo Wa kumsoma MTU mda mfupi saana yaani nikikutana nae tuu au nikishikana nae mkono nikimwangalia namjua yupoje na pia na nia yake ni IPI kwangu na sijawahi kukosea


Hiii hali imenifanya mpka sasa sijawahi kukataliwa na binti aina yeyote ile wala sijawahi kulizwa wala kusemwa vibaya kwa sababu

MTU mbaya namgundua mapema sana kama kuna binti ananipenda natambua hilo mapema sana na nkumuambia tuu ukweli kua nampenda hakatai anakubali ,pia MTU ambae ana nia mbaya na mimi natambua mwenye nia mzuri natambua mapema mnoo mpka najiuliza Mimi nipoje

Eti wataalamu watu Wa aina Yangu wanaitwaje?
Una pepo la ngono (jini mahaba)
 
Mimi Nina hali moja hivi yaani Nina uwezo Wa kumsoma MTU mda mfupi saana yaani nikikutana nae tuu au nikishikana nae mkono nikimwangalia namjua yupoje na pia na nia yake ni IPI kwangu na sijawahi kukosea


Hiii hali imenifanya mpka sasa sijawahi kukataliwa na binti aina yeyote ile wala sijawahi kulizwa wala kusemwa vibaya kwa sababu

MTU mbaya namgundua mapema sana kama kuna binti ananipenda natambua hilo mapema sana na nkumuambia tuu ukweli kua nampenda hakatai anakubali ,pia MTU ambae ana nia mbaya na mimi natambua mwenye nia mzuri natambua mapema mnoo mpka najiuliza Mimi nipoje

Eti wataalamu watu Wa aina Yangu wanaitwaje?
Watu kama wewe tunawaita wapenda ujiko, au wazee wa kujikweza.
Maranyingi watu kama wewe, hua wanakua fuse za kichwani zilisha chomoka na dish likacheza.
Watu kama wewe wakikutana na watu wenye uelewa, huwa wanawasikiliza na kuwakubalia kila jambo na sometimes wengine huwapuuza..... Hii hupelekea watu kama wewe kujiona wana akili na uwezo mkubwa wa kufikiria, ilhali wanaonekana wajinga tu.

Nimtazamo tu
 
Mimi Nina hali moja hivi yaani Nina uwezo Wa kumsoma MTU mda mfupi saana yaani nikikutana nae tuu au nikishikana nae mkono nikimwangalia namjua yupoje na pia na nia yake ni IPI kwangu na sijawahi kukosea


Hiii hali imenifanya mpka sasa sijawahi kukataliwa na binti aina yeyote ile wala sijawahi kulizwa wala kusemwa vibaya kwa sababu

MTU mbaya namgundua mapema sana kama kuna binti ananipenda natambua hilo mapema sana na nkumuambia tuu ukweli kua nampenda hakatai anakubali ,pia MTU ambae ana nia mbaya na mimi natambua mwenye nia mzuri natambua mapema mnoo mpka najiuliza Mimi nipoje

Eti wataalamu watu Wa aina Yangu wanaitwaje?
Huyo huiitwa hayaha husseni.
 
Magufuli ana nia gani na Wabongo!??

Bashite ana nia gani na Dar !!?

Wema ana nia gani na Mbowe!?

........ Jibu.
 
Watu kama ww wanaitwa wanga ,ibilisi ,mwana izaya ,mwana mtoka pabaya , mchamba wima we a.k.a mnafiki haya kwa heri umeshayapata uliyoyataka tabiri sasa mm mbaya au mzuri kwako
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom