Hivi karibuni nilikuwa Dar es Salaam kwa safari ya kikazi, nilikaa huko Dar kwa muda wa wiki mbili, hivyo nikaamua kuwatafuta ndugu jamaa na marafiki ili niwasalimie kabla sijarudi kwetu.
Majibu niliyokuwa napata yalinishangaza sana, kila niliyempigia simu na kumwambia nipo Dar aliniambia yupo safarini Bagamoyo mara Zanzibar, nikabaki kujiuliza ina hawa watu wote walipanga kwenda Bagamoyo mimi nikija Dar, nimejaribu kushare jambo hili na watu mbalimbali wameniambia hata wao yaliwahi kuwakuta hayo.
Jambo lingine ambalo nimeligundua watu wa Dar wana maisha magumu tofauti na wanavyojikweza hivyo wanaona ukiwatembelea au ukikutana nao wataumbuka.
Watu wa Dar acheni uchoyo, mbona nyie mkija huku Mwanza na mikoani tunawapokea vizuri na kuwakarimu vizuri kwanini tukija huko kwenu mnaanza visingizio vya safari.
Majibu niliyokuwa napata yalinishangaza sana, kila niliyempigia simu na kumwambia nipo Dar aliniambia yupo safarini Bagamoyo mara Zanzibar, nikabaki kujiuliza ina hawa watu wote walipanga kwenda Bagamoyo mimi nikija Dar, nimejaribu kushare jambo hili na watu mbalimbali wameniambia hata wao yaliwahi kuwakuta hayo.
Jambo lingine ambalo nimeligundua watu wa Dar wana maisha magumu tofauti na wanavyojikweza hivyo wanaona ukiwatembelea au ukikutana nao wataumbuka.
Watu wa Dar acheni uchoyo, mbona nyie mkija huku Mwanza na mikoani tunawapokea vizuri na kuwakarimu vizuri kwanini tukija huko kwenu mnaanza visingizio vya safari.