Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Uneshambishia jamaa...uaingekuwa mbishi ungemkubalia
Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
Uneshambishia jamaa...uaingekuwa mbishi ungemkubalia
Watu wa tandale bwananamuona kijana katokea Ushirombo akapata chumba Kimara sasa anajikuta jiji lake
Ndo mjini apo? Mm naona poli tu na ziwa na vinyumba kadhaa vya kutafuta kwa tochi... afu mkija mjini mkikaa wiki mkishajua kuvuka barabara mnakuwa jeuli sana nyie umbwa!Hiyo ni kama manzese au buguruni ya kigoma.. ila mjini kabisa centre ni kule mbele ziwani.
Ndio kuna ofisi zote na maghorofa View attachment 1421461
Sent using Jamii Forums mobile app
Zote nimepiga kig mjiniView attachment 1421451View attachment 1421452
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mkishafika mjini mkuu mlio wengi kama sio wewè mkishatoa ule ukungu tu mnaanza kudhalau wenyeji mliotukutaChuki zote hizi zasababishwa na nini..?.
Apa nakupinga vikali,bro waha ninao kaa nao uku ni wabishi mpaka wanakera .Kila story anaijua,pia wanataka Kila story wawe wenyekiti(wasemaji wakuu).misifa Sasa duuu....hawa watakuwa wanatokea kigoma ya wapi? Au warundi mana mnatuchanganya sana migrationSasa nimkubalie nini hapo.?
Waha mnatusingizia kila siku wakati hatuna ubishi
Yani unavyoendelea kubisha unaprove mlivyo wabishi sheikhSasa nimkubalie nini hapo.?
Waha mnatusingizia kila siku wakati hatuna ubishi
Yani unavyoendelea kubisha unaprove mlivyo wabishi sheikh
Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
Daah! Kumbe wewe wa kwetu mkuu?Ukiwa huku kuna namna unalainika automatically walaqhi', eti na mimi wa kaskazini naona haka kabaridi leo kako serious, sijui ndiyo nishaambukizwa 'udaslam' maskiini..
Ndiyo mkuu..!!