Watu wa Airport watoe majibu, Tanzania Migration inawekwa doa Youtube na tourist wa African American

Bora ninyamaze, hivi vitu huwa ni vya kawaida unless you are not a frequent traveller. Ni kuwa mtu kutoka Nigeria kuja Tanzania hawezi kupata viza on arrival like wise. Usisahau kwa vile kuna miunga inakamatwa na wa west Africa, lazima maofisa wajiridhishe na kujiridhisha ni kufanya delay ya makusudi
Kwanza si kitu cha kawaida kumkatalia msafiri kutoka nchini kwako bila sababu. Hawakuwa na sababu yoyote ya kumkatalia kutoka nchini.

Bora hata wangesema wanamshuku anaingiza madawa nchini, wakamkatalia kuingia. Sasa mtu anatika, unamkatalia asitoke ili iweje? Unataka akae nchini umoe makazi na kazi?

Akisema mmenikatalia kuondoka, nalikita hapa bongo, nioeni work permit, kazina sehemu ya kukaa na mshahara n8naotaka, maana mmenikataza nisirudi kwenye kazi zangu, mtamtimizia?

Pili, unapomlatalia mtu asitoke nchini kwako, akikwambia hana pa kukaa na anataka umpangie hoteli ya hadhi yaje, utampangia?

Tatu, wahalifu wapo, lakini kuna kitu kinaitwa reasonable doubt. Huyu dada si muhalifu, angekuwa muhalifu asingejiweka mitandaoni hivi. Sasa hao maofisa waliona sababu gani ya kumchelewesha? Na ninaweza kueleea kama mtu kachelewesha katikewa kwenye mstari, kaulizwa maswali, halafu kaachiwa. Huyu kacheleweshwa mpaka ikabidi aongeze siku za kukaa Tanzania, kwa sababu gani? Alivyooeleka issue kwa wakubwa wakaona hana kosa. Sasa mtachelewesha wangapi hapo airport?

Na kila mnapochelewesha watu wasio na hatia, ndivyo mnavyopoteza uwezo wa kukamata watu walio na hatia.

Ujunga gani huu?
 
Rushwa kuondoka nchi hii ni kazi sana
Maana kila mtu anataka Hela

Ova
 
Kwanza si kitu cha kawaida kumkatalia msafiri kutoka nchini kwako bila sababu. Hawakuwa na sababu yoyote ya kumkatalia kutoka nchini.

Bora hata wangesema wanamshuku anaingiza madawa nchini, wakamkatalia kuingia. Sasa mtu anatika, unamkatalia asitoke ili iweje? Unataka akae nchini umoe makazi na kazi?

Akisema mmenikatalia kuondoka, nalikita hapa bongo, nioeni work permit, kazina sehemu ya kukaa na mshahara n8naotaka, maana mmenikataza nisirudi kwenye kazi zangu, mtamtimizia?

Pili, unapomlatalia mtu asitoke nchini kwako, akikwambia hana pa kukaa na anataka umpangie hoteli ya hadhi yaje, utampangia?

Tatu, wahalifu wapo, lakini kuna kitu kinaitwa reasonable doubt. Huyu dada si muhalifu, angekuwa muhalifu asingejiweka mitandaoni hivi. Sasa hao maofisa waliona sababu gani ya kumchelewesha? Na ninaweza kueleea kama mtu kachelewesha katikewa kwenye mstari, kaulizwa maswali, halafu kaachiwa. Huyu kacheleweshwa mpaka ikabidi aongeze siku za kukaa Tanzania, kwa sababu gani? Alivyooeleka issue kwa wakubwa wakaona hana kosa. Sasa mtachelewesha wangapi hapo airport?

Na kila mnapochelewesha watu wasio na hatia, ndivyo mnavyopoteza uwezo wa kukamata watu walio na hatia.

Ujunga gani huu?
Mambo kama haya yalinikuta sana enzi hizo nikitoka Tz kuja Europa inauzi sana lakini wao wana haki. Walikuwa wanadai wakati mwingine kuwa wanataka kuthibitisha kama resident permit no valid etc, unabaki immigration pale hadi kesho yake bila hata kukueleza samahani. Kwa international travelers ni jambo la kawaida ila linaumiza.
 
Mambo kama haya yalinikuta sana enzi hizo nikitoka Tz kuja Europa inauzi sana lakini wao wana haki. Walikuwa wanadai wakati mwingine kuwa wanataka kuthibitisha kama resident permit no valid etc, unabaki immigration pale hadi kesho yake bila hata kukueleza samahani. Kwa international travelers ni jambo la kawaida ila linaumiza.
Ukisema ni jambo la kawaida unalihalalisha, wakati ni la ujinga.

Kuna mtu alikuwa anatoka Dar, anakuja US, na Permanent Resident/ green card visa ya US.

Mara yake ya kwanza kusafiria hiyo permanent residency, ndiyo kwanza kaipata.

Hii visa, walivyokuwa wanaitoa wenyewe Wamarekani, walikuwa wanakupa kwenye bahasha. Bahasha ina maagizo, isifunguliwe sehemu yoyote mpaka mtu atakapofika uhamiaji Marekani.

Jamaa wa airport Tanzania wanataka kung'ang'ania kufungua ile bahasha, kama hawajui kusoma, kama vile huyo ni mtu wa kwanza kupita pale na hiyo visa.

Jamaa nusu wamcheleweshe ndege, sema uzuri alikuja kishua sana aliwahi.

Sasa watu wanafanya kazi airport, hata kiingereza cha manati, halafu wakiharibu tunasema ni kawaida?
 
Pole zake nyingi.

Katika matatizo yote aliyopata amenifurahisha alivyo ya handle kwa neema kubwa na kuwa chill. Such style and grace, wengine tungepaka kama Bumpy Knuckles yupo kwenye mic katoa diss mixtape hapo.

Ameivunja stereotype kwamba wanawake Wamarekani weusi wana hasira, visirani na drama.

Nchi yetu ina matatizo mengi. Katika kujenga international exposure bado sana. Pia, mtu anachukuliwa kuwa muhalifu mpaka aoneshe vinginevyo. Guilty until proven innocent.


Kuna siku nilikuwa natoka hapo Airport, wakataka kuniletea ujinga, nikawaambia you are messing with the wrong guy, nikawaambia nitampigia simu Waziri wenu sasa hivi hapa niwa blast. Wakanywea, nikawapaka sana.

Siku hizi hata ku recommend watu waje Tanzania kufanya utalii au biashara naona tabu, sitaki mtu aje halafu apate tabu.

Watu hawana uadilifu. Inaonekana dereva wa taxi kamzungusha njia ndefu ili amlipishe nauli kubwa. Halafu akawa anamtongoza.

Tatizo lingine, tukiona Mmarekani tunafikiri ana hela nyingi tu. Hawa watu wengine wana maisha ya kawaida tu Marekani. Wame tenga hela zao kwa muda ili kusafiri kuja kuona bara la asili yao. Ni kama hija fulani kwao. Sasa mtu kaja kufanya hija ya kijamii, halafu mnamvunjia heshima hivi?

Mwaka 2004 nilikuwa Marekani napitia habari mtandaoni, nafikiri Youngafrican.com. Nikasoma kuna jamaa mmoja Mmarekani, alikuwa mchungaji, analeta vifaa vya kilimo Tanzania, kama misaada. Ilikuwa kazi ya kujitolea kwa kweli. Basi yule Mzee walimpa shida sana bandarini kutoa vitu vyake.

Watu wakatuma thread kama hivi. Nikamtafuta, nikachukua details zake. Nikamtafuta mnene mmoja wa juu kabisa. Nikampa issue. Nikamwambia hapa mnataka kubana mpaka penati mbona? Huyu mchungaji, anafanya kazi ya kanisa, anasaidia wakulima masikini, mbona mnamvunjia heshima hivi?

Yule mchungaji aliitwa ofisini kwa mkuu, akaulizwa details zake, mzigo wake ukapitishwa mara moja. Alinishukuru sana.

Kwa mtaji huu hata Watanzania wenyewe tunaoishi nje likizo tutaishia kwenda visiwa vya Turks and Caicos.

Ukijichanganya sana Tanzania hawakawii kukudaka ubaki Bongo kwa sababu unataka kupanda ndege kurudi Marekani bila ya kuwa na fire extinguisher!
Umeeleza vizuri,lakini hapo mwisho umenivunja mbavu.
 
Serikali ichunguze na iwafukuze kazi wote waliohusika. Hatuwezi kununua ndege kwa gharama kubwa harafu watu watuharibie kwa abiria. Mteja ni mfalme tena kaleta dola kwa nini atendewe hivo? Au wekeni CEO mweupe maana hawachekagi na nyani wale.
 
Ukisema ni jambo la kawaida unalihalalisha, wakati ni la ujinga.

Kuna mtu alikuwa anatoka Dar, anakuja US, na Permanent Resident/ green card visa ya US.

Mara yake ya kwanza kusafiria hiyo permanent residency, ndiyo kwanza kaipata.

Hii visa, walivyokuwa wanaitoa wenyewe Wamarekani, walikuwa wanakupa kwenye bahasha. Bahasha ina maagizo, isifunguliwe sehemu yoyote mpaka mtu atakapofika uhamiaji Marekani.

Jamaa wa airport Tanzania wanataka kung'ang'ania kufungua ile bahasha, kama hawajui kusoma, kama vile huyo ni mtu wa kwanza kupita pale na hiyo visa.

Jamaa nusu wamcheleweshe ndege, sema uzuri alikuja kishua sana aliwahi.

Sasa watu wanafanya kazi airport, hata kiingereza cha manati, halafu wakiharibu tunasema ni kawaida?
Mimi sijasema Dar, ilishanitokea Heathrow, safari ingine uswisi mara kadhaa nikaacha kutumia swissair anyway watanzania tunakatabia ka kipuuzi kukandia vya kwetu
 
Ndyo na visa alikuwa nayo
Unaambiwa kuwa na visa si warrant ya kuingia nchi nyingine Mkuu. Ni ajali kama ajali ingine bora wao ndio wanaweza kutupa sababu (ambapo mimi naamini ipo), sie tuache kujifanya migration officers, Polisi na hata wanausalama wa uwanja wa ndege. Subra muhimu
 
Mods, mbona kila nikituma msg nzuri tu zinafutwa? Kuna watu humu wanaandika matusi ya nguoni kabisa mnawaacha! Mimi natoa mawazo ya kujenga mnafuta kwanini? Kama kuna watu wanaomba rushwa airport nami nimetoa mawazo yangu kama raia mwema kuna kosa gani? Ajabu sana!
 
Pole zake nyingi.

Katika matatizo yote aliyopata amenifurahisha alivyo ya handle kwa neema kubwa na kuwa chill. Such style and grace, wengine tungepaka kama Bumpy Knuckles yupo kwenye mic katoa diss mixtape hapo.

Ameivunja stereotype kwamba wanawake Wamarekani weusi wana hasira, visirani na drama.

Nchi yetu ina matatizo mengi. Katika kujenga international exposure bado sana. Pia, mtu anachukuliwa kuwa muhalifu mpaka aoneshe vinginevyo. Guilty until proven innocent.


Kuna siku nilikuwa natoka hapo Airport, wakataka kuniletea ujinga, nikawaambia you are messing with the wrong guy, nikawaambia nitampigia simu Waziri wenu sasa hivi hapa niwa blast. Wakanywea, nikawapaka sana.

Siku hizi hata ku recommend watu waje Tanzania kufanya utalii au biashara naona tabu, sitaki mtu aje halafu apate tabu.

Watu hawana uadilifu. Inaonekana dereva wa taxi kamzungusha njia ndefu ili amlipishe nauli kubwa. Halafu akawa anamtongoza.

Tatizo lingine, tukiona Mmarekani tunafikiri ana hela nyingi tu. Hawa watu wengine wana maisha ya kawaida tu Marekani. Wame tenga hela zao kwa muda ili kusafiri kuja kuona bara la asili yao. Ni kama hija fulani kwao. Sasa mtu kaja kufanya hija ya kijamii, halafu mnamvunjia heshima hivi?

Mwaka 2004 nilikuwa Marekani napitia habari mtandaoni, nafikiri Youngafrican.com. Nikasoma kuna jamaa mmoja Mmarekani, alikuwa mchungaji, analeta vifaa vya kilimo Tanzania, kama misaada. Ilikuwa kazi ya kujitolea kwa kweli. Basi yule Mzee walimpa shida sana bandarini kutoa vitu vyake.

Watu wakatuma thread kama hivi. Nikamtafuta, nikachukua details zake. Nikamtafuta mnene mmoja wa juu kabisa. Nikampa issue. Nikamwambia hapa mnataka kubana mpaka penati mbona? Huyu mchungaji, anafanya kazi ya kanisa, anasaidia wakulima masikini, mbona mnamvunjia heshima hivi?

Yule mchungaji aliitwa ofisini kwa mkuu, akaulizwa details zake, mzigo wake ukapitishwa mara moja. Alinishukuru sana.

Kwa mtaji huu hata Watanzania wenyewe tunaoishi nje likizo tutaishia kwenda visiwa vya Turks and Caicos.

Ukijichanganya sana Tanzania hawakawii kukudaka ubaki Bongo kwa sababu unataka kupanda ndege kurudi Marekani bila ya kuwa na fire extinguisher!
Ahahaaaa.....! Kabisa mkuu,tuachie wenyewe huku haya maboya tupambane nayo mkuu. ”eti wakudai fire extinguisher”.
 
Kwakweli nimepita Youtube and I came across video moja. Ni mdada wa Kimarekani akilalamikia migration ya airport terminal 3 kuwa ni corrupt, na walitaka kuchukua rushwa, kwani maofisa hao walimzuia kusafiri kutoka Tanzania kwenda Nigeria kwa sababu zisizojulikana.

Watu wa nchi mbalimbali katika comment section wameisema sana vibaya nchi yetu, wengine ni majirani kabisa, haya mambo tusiruhusu yakatokea yanatuchafulia wakati ndo tunaanza. Tunataka huyo afisa aliye mhudumia huyu dada pamoja na uongozi wa Airport waje watoe majibu.

Mpaka inafikia watu wa nje wanamshauri akareport kwa Magufuli kwa kuwa wanajua Raisi wetu si mtu wa kulea rushwa.

Nina mashaka pia na tuhuma za huyu dada wa kimarekani za kuombwa rushwa kwani labda tu ilikuwa inshu ya kutoelewana ila sidhani kama ni rushwa.

Embu wote tukajionee tulivosemwa vibaya , pia tulivochambwa kwenye comments,



Something is not right, huyo dada ni Kati ya watu husifia sana Tz mtandaoni. Itakuwa walimkwera sana.
 
Nasema hivyo kwa sababu suala la kukidhi vigezo na bado watu kutaka hela lipo sana tu kwenye border zetu Africa ni kitu cha kawaida huwenda hujawahi kupitapita popote ila unaongea tu
Nimetoa mfano kwamba huwenda hata Burundi hujafika coz ungeyajua hayo
Mkuu. Mbona unaleta dharau hvyo lakini? Sasa Burundi niende kufanya ninj?
 
Back
Top Bottom