ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,941
- 3,860
Kwakweli nimepita Youtube and I came across video moja. Ni mdada wa Kimarekani akilalamikia migration ya airport terminal 3 kuwa ni corrupt, na walitaka kuchukua rushwa, kwani maofisa hao walimzuia kusafiri kutoka Tanzania kwenda Nigeria kwa sababu zisizojulikana.
Watu wa nchi mbalimbali katika comment section wameisema sana vibaya nchi yetu, wengine ni majirani kabisa, haya mambo tusiruhusu yakatokea yanatuchafulia wakati ndo tunaanza. Tunataka huyo afisa aliye mhudumia huyu dada pamoja na uongozi wa Airport waje watoe majibu.
Mpaka inafikia watu wa nje wanamshauri akareport kwa Magufuli kwa kuwa wanajua Raisi wetu si mtu wa kulea rushwa.
Nina mashaka pia na tuhuma za huyu dada wa kimarekani za kuombwa rushwa kwani labda tu ilikuwa inshu ya kutoelewana ila sidhani kama ni rushwa.
Embu wote tukajionee tulivosemwa vibaya , pia tulivochambwa kwenye comments,
Watu wa nchi mbalimbali katika comment section wameisema sana vibaya nchi yetu, wengine ni majirani kabisa, haya mambo tusiruhusu yakatokea yanatuchafulia wakati ndo tunaanza. Tunataka huyo afisa aliye mhudumia huyu dada pamoja na uongozi wa Airport waje watoe majibu.
Mpaka inafikia watu wa nje wanamshauri akareport kwa Magufuli kwa kuwa wanajua Raisi wetu si mtu wa kulea rushwa.
Nina mashaka pia na tuhuma za huyu dada wa kimarekani za kuombwa rushwa kwani labda tu ilikuwa inshu ya kutoelewana ila sidhani kama ni rushwa.
Embu wote tukajionee tulivosemwa vibaya , pia tulivochambwa kwenye comments,