Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Taarifa ambazo zimethibitishwa na kamanda wa polisi mkoa Simon Sirro,
zinadai jeshi hilo linawashikilia watu sita ikiwa ni pamoja na mjumbe
wa kamati ya siasa wa CCM Mkoa Ellen Bogohe wakidaiwa kuhusika na
kupanga njama za kumuua aliyekuwa mbunge wa Busega Dk. Raphael
Chegeni. Inadaiwa mpango wa uaji ulikuwa umeandaliwa na mbunge mmoja
wa CCM kanda ya ziwa. Naendelea kufuatilia zaidi isipokuwa kamanda
Sirro amesema jeshi lake litatoa taarifa kwa vyombo vya habari kesho.
zinadai jeshi hilo linawashikilia watu sita ikiwa ni pamoja na mjumbe
wa kamati ya siasa wa CCM Mkoa Ellen Bogohe wakidaiwa kuhusika na
kupanga njama za kumuua aliyekuwa mbunge wa Busega Dk. Raphael
Chegeni. Inadaiwa mpango wa uaji ulikuwa umeandaliwa na mbunge mmoja
wa CCM kanda ya ziwa. Naendelea kufuatilia zaidi isipokuwa kamanda
Sirro amesema jeshi lake litatoa taarifa kwa vyombo vya habari kesho.