Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,958
Tena wale ambao ni new wedds in town.
Huyu jamaa yetu anafanya kazi taasisi flan hivi ya serikal..mishahara yetu tunaijua chief...sasa jamaa kabla hajaoa alikuwa anaendesha gari flani, kaoa now ni kama miaka miwil kabadili gari kachkua kitu cha 28m.
Basi imekuwa kero, muda wote yeye ni kuongelea mambo yake na mkewe na kuturingishia sisi wengine..yaani mwana anaongea sanaaa..sisi tunamshangaa...halaf mwongo mwongo
Mimi ikabid nimchane kwamba sasa mwamba unaongea nini wakati vyanzo vyako vya mapato tunavijua halafu pia umeunganisha nguvu na shemeji ..usijifananishe na sisi one man army ambao kitambo unachofanya wewe now sisi tushafanya miaka mitatu nyuma..
Hakunielewa, akawa anaboa ila ndo hvyo tukamvumilia sababu tunamjua
Ila kiukweli watu mliooa mna mbwembwe, yaani mnaona sisi wengne tunakosea maisha
Uzi tayar
(Usinijudge tafadhal)
Huyu jamaa yetu anafanya kazi taasisi flan hivi ya serikal..mishahara yetu tunaijua chief...sasa jamaa kabla hajaoa alikuwa anaendesha gari flani, kaoa now ni kama miaka miwil kabadili gari kachkua kitu cha 28m.
Basi imekuwa kero, muda wote yeye ni kuongelea mambo yake na mkewe na kuturingishia sisi wengine..yaani mwana anaongea sanaaa..sisi tunamshangaa...halaf mwongo mwongo
Mimi ikabid nimchane kwamba sasa mwamba unaongea nini wakati vyanzo vyako vya mapato tunavijua halafu pia umeunganisha nguvu na shemeji ..usijifananishe na sisi one man army ambao kitambo unachofanya wewe now sisi tushafanya miaka mitatu nyuma..
Hakunielewa, akawa anaboa ila ndo hvyo tukamvumilia sababu tunamjua
Ila kiukweli watu mliooa mna mbwembwe, yaani mnaona sisi wengne tunakosea maisha
Uzi tayar
(Usinijudge tafadhal)