Watu makini tumeanza mchakato wa kuhakikisha Cyprian Musiba anapata tuzo ya Komla Dumor

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,426
Mwandishi mzuri ni jicho la tatu la wananchi, ndg Cyprian Musiba amekuwa ni jicho la tatu la jamii.

Kwa kazi yake ya uandishi na kufichua maovu ya wanasiasa imefikia mpaka hatua ya kutaka kupoteza maisha, amekataa kuwatumikia wanasiasa ambao hawakutaka habari zao ziende hewani.

ZZK mara kadhaa amemtishia hadharani lakini Musiba siku zote amesimamia misingi na maadili ya kazi yake hata kama ingemanishaa kwenda kufichwa chini ya ziwa Tanganyika,,ameyasema mabeberu,amewasema vibaraka wa mabeberu,amewataja watu wanaohatarisha usalama wa nchi kwa majina yao bila kuogopa.

mwaka 2019 sasa ni muda muafaka wa ndg yetu huyu kuchukua hii tuzo, BBC's Komla Dumor Award.

p05z1cn8.jpg
musibaaa.jpg
 
Mwandishi mzuri ni jicho la tatu la wananchi, ndg Cyprian Musiba amekuwa ni jicho la tatu la jamii.

Kwa kazi yake ya uandishi na kufichua maovu ya wanasiasa imefikia mpaka hatua ya kutaka kupoteza maisha, amekataa kuwatumikia wanasiasa ambao hawakutaka habari zao ziende hewani.

ZZK mara kadhaa amemtishia hadharani lakini Musiba siku zote amesimamia misingi na maadili ya kazi yake hata kama ingemanishaa kwenda kufichwa chini ya ziwa Tanganyika,,ameyasema mabeberu,amewasema vibaraka wa mabeberu,amewataja watu wanaohatarisha usalama wa nchi kwa majina yao bila kuogopa.

mwaka 2019 sasa ni muda muafaka wa ndg yetu huyu kuchukua hii tuzo, BBC's Komla Dumor Award.

View attachment 1022662View attachment 1022663
Dawa pekee ya kumnyamazisha Lissu huko Duniani aliko ili aachane na kuituhumu serikali yake, dawa hiyo aliyenayo ni serikali yenyewe kujishughulisha na suala la Lissu ikiwa ni pamoja na ;

1.Serikali kutoa ushahidi usio na shaka wa mtu halisi aliyehusika kumshambulia Lissu

2. Serikali kuieleza Dunia walikokuwa walinzi waliokuwa zamu kulinda nyumba za serikali wakati Lissu anashambuliwa.

3. Serikali kuieleza Dunia zilikokwenda CCTV camera baada ya Lissu kushambuliwa.

Kwa nini serikali ndo inapaswa kuwa na majibu haya? Kwa sababu ndo pekee ina mamlaka ya kutoa majibu hayo na si mwingine!!! Hayo ndiyo maswali pekee ambayo Lissu amekuwa akiyauliza kila kwenye chombo cha habari cha kimataifa anachoalikwa!!
 
Mwandishi mzuri ni jicho la tatu la wananchi, ndg Cyprian Musiba amekuwa ni jicho la tatu la jamii.

Kwa kazi yake ya uandishi na kufichua maovu ya wanasiasa imefikia mpaka hatua ya kutaka kupoteza maisha, amekataa kuwatumikia wanasiasa ambao hawakutaka habari zao ziende hewani.

ZZK mara kadhaa amemtishia hadharani lakini Musiba siku zote amesimamia misingi na maadili ya kazi yake hata kama ingemanishaa kwenda kufichwa chini ya ziwa Tanganyika,,ameyasema mabeberu,amewasema vibaraka wa mabeberu,amewataja watu wanaohatarisha usalama wa nchi kwa majina yao bila kuogopa.

mwaka 2019 sasa ni muda muafaka wa ndg yetu huyu kuchukua hii tuzo, BBC's Komla Dumor Award.

View attachment 1022662View attachment 1022663

Hiyo mbona ndogo, fanyeni utaratibu apate Nobel Prize.
 
Back
Top Bottom