Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile jamaa lina matatizo makubwa
Hivi umeliona lilivyo ungua uso?
Mimacho mekundu alafu vijipelepele around the eyes totally scary monster
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukute unajipigia promo mwenyewe maana sioni mtu mkini wa kukupigia promoMwandishi mzuri ni jicho la tatu la wananchi, ndg Cyprian Musiba amekuwa ni jicho la tatu la jamii.
Kwa kazi yake ya uandishi na kufichua maovu ya wanasiasa imefikia mpaka hatua ya kutaka kupoteza maisha, amekataa kuwatumikia wanasiasa ambao hawakutaka habari zao ziende hewani.
ZZK mara kadhaa amemtishia hadharani lakini Musiba siku zote amesimamia misingi na maadili ya kazi yake hata kama ingemanishaa kwenda kufichwa chini ya ziwa Tanganyika,,ameyasema mabeberu,amewasema vibaraka wa mabeberu,amewataja watu wanaohatarisha usalama wa nchi kwa majina yao bila kuogopa.
mwaka 2019 sasa ni muda muafaka wa ndg yetu huyu kuchukua hii tuzo, BBC's Komla Dumor Award.
View attachment 1022662View attachment 1022663
Aisee huyo mwandishi wa shetani anapata lini hiyo Tuzo, nadhani mtoaji wa Tuzo atakuwa ni pepo mkuu BelzeburMwandishi mzuri ni jicho la tatu la wananchi, ndg Cyprian Musiba amekuwa ni jicho la tatu la jamii.
Kwa kazi yake ya uandishi na kufichua maovu ya wanasiasa imefikia mpaka hatua ya kutaka kupoteza maisha, amekataa kuwatumikia wanasiasa ambao hawakutaka habari zao ziende hewani.
ZZK mara kadhaa amemtishia hadharani lakini Musiba siku zote amesimamia misingi na maadili ya kazi yake hata kama ingemanishaa kwenda kufichwa chini ya ziwa Tanganyika,,ameyasema mabeberu,amewasema vibaraka wa mabeberu,amewataja watu wanaohatarisha usalama wa nchi kwa majina yao bila kuogopa.
mwaka 2019 sasa ni muda muafaka wa ndg yetu huyu kuchukua hii tuzo, BBC's Komla Dumor Award.
View attachment 1022662View attachment 1022663
Hata Mimi nimemka nashangaa Niko Maeneo ya Kinondoni.Mkuu hapa ni makaburini!!! Husikii sauti za maiti zikipongezana na kuombeana tuzo za nini sijui??