Watu makini kama mbunge wa Kawe Josephat Gwajima wamekaa kimya juu ya uharamu unaotendwa na serikali kwa wananchi. Hii maana yake nini?

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,478
35,355
Je, CCM huwaweka kitimoto wabunge wake mara tu wanapoapishwa?

Wanakuwa watu makini lakini huwezi kuwaona wakiipinga serikali kwenye masuala muhimu kama haya ya kodi.

Inatia ukakasi sana.
 
Je, CCM huwaweka kitimoto wabunge wake mara tu wanapoapishwa?
Wanakuwa watu makini lakini huwezi kuwaona wakiipinga serikali kwenye masuala muhimu kama haya ya kodi.
Inatia ukakasi sana.
Umakini uliompa Gwajima unatokana na nini? Namuona hana huo Umakini uliompatia.
 
Je, CCM huwaweka kitimoto wabunge wake mara tu wanapoapishwa?
Wanakuwa watu makini lakini huwezi kuwaona wakiipinga serikali kwenye masuala muhimu kama haya ya kodi.
Inatia ukakasi sana.
gwajima unamuita mbunge makini? kama unaweka hopes kwa mbunge kama huyo.. you are so so wrong
 
Je, CCM huwaweka kitimoto wabunge wake mara tu wanapoapishwa?
Wanakuwa watu makini lakini huwezi kuwaona wakiipinga serikali kwenye masuala muhimu kama haya ya kodi.
Inatia ukakasi sana.
CCM wote wako hivi
JamiiForums313878302.jpg
 
Je, CCM huwaweka kitimoto wabunge wake mara tu wanapoapishwa?
Wanakuwa watu makini lakini huwezi kuwaona wakiipinga serikali kwenye masuala muhimu kama haya ya kodi.
Inatia ukakasi sana.
KASHIRIKI KUUPITISHA HUO UHARAMIA ULITAKA ASEME NINI
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom