Duniani kote watu maarufu - wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki, waigizaji na wengineo - wamekuwa wakitumia majina tofauti na majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa. Kuna sababu tofauti zinazosababisha hali hii. Mfano, kufupisha jina refu, kutumia jina maarufu/la utani, kubadilisha dini nk. Nimebahatika kufahamu majina halisi/kamili ya wafuatao:
Abedi Ayew - Abedi 'Pele'
Cassius Marcellus Clay Jr. - Muhammad Ali
Edson Arantes do Nascimento aka Pele - PELE
John Michael Nchekwube Obinna - John Obi Mikel
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham - Tammy Abraham
Oluwafikayomi Oluwadamilola Tomori - Fikayo Tomori
Ronaldo de Assis Moreira - Ronaldinho
Thomas Cruise Mapother IV - Tom Cruise
William Bradley Pitt - Brad Pitt
William Jefferson Clinton/William Jefferson Blythe III - Bill Clinton
Je ni watu gani wengine maarufu unaofahamu majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa ambayo ni tofauti na yale tuliyoyazoea?
Abedi Ayew - Abedi 'Pele'
Cassius Marcellus Clay Jr. - Muhammad Ali
Edson Arantes do Nascimento aka Pele - PELE
John Michael Nchekwube Obinna - John Obi Mikel
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham - Tammy Abraham
Oluwafikayomi Oluwadamilola Tomori - Fikayo Tomori
Ronaldo de Assis Moreira - Ronaldinho
Thomas Cruise Mapother IV - Tom Cruise
William Bradley Pitt - Brad Pitt
William Jefferson Clinton/William Jefferson Blythe III - Bill Clinton
Je ni watu gani wengine maarufu unaofahamu majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa ambayo ni tofauti na yale tuliyoyazoea?