Watu maarufu na majina halisi waliyopewa wakati wa kuzaliwa

Duniani kote watu maarufu - wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki, waigizaji na wengineo - wamekuwa wakitumia majina tofauti na majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa. Kuna sababu tofauti zinazosababisha hali hii. Mfano, kufupisha jina refu, kutumia jina maarufu/la utani, kubadilisha dini nk. Nimebahatika kufahamu majina halisi/kamili ya wafuatao:

Abedi Ayew - Abedi 'Pele'
Cassius Marcellus Clay Jr. - Muhammad Ali
Edson Arantes do Nascimento aka Pele - PELE
John Michael Nchekwube Obinna - John Obi Mikel
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham - Tammy Abraham
Oluwafikayomi Oluwadamilola Tomori - Fikayo Tomori
Ronaldo de Assis Moreira - Ronaldinho
Thomas Cruise Mapother IV - Tom Cruise
William Bradley Pitt - Brad Pitt
William Jefferson Clinton/William Jefferson Blythe III - Bill Clinton

Je ni watu gani wengine maarufu unaofahamu majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa ambayo ni tofauti na yale tuliyoyazoea?

Hivi ulifikiria nini kuweka hao obi na huyo Abraham kwenye list ya magwiji?
 
Duniani kote watu maarufu - wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki, waigizaji na wengineo - wamekuwa wakitumia majina tofauti na majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa. Kuna sababu tofauti zinazosababisha hali hii. Mfano, kufupisha jina refu, kutumia jina maarufu/la utani, kubadilisha dini nk. Nimebahatika kufahamu majina halisi/kamili ya wafuatao:
Abedi Ayew - Abedi 'Pele'
Cassius Marcellus Clay Jr. - Muhammad Ali
Edson Arantes do Nascimento aka Pele - PELE
John Michael Nchekwube Obinna - John Obi Mikel
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham - Tammy Abraham
Oluwafikayomi Oluwadamilola Tomori - Fikayo Tomori
Ronaldo de Assis Moreira - Ronaldinho
Thomas Cruise Mapother IV - Tom Cruise
William Bradley Pitt - Brad Pitt
William Jefferson Clinton/William Jefferson Blythe III - Bill Clinton
Je ni watu gani wengine maarufu unaofahamu majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa ambayo ni tofauti na yale tuliyoyazoea?
Nicholas Diego leonos=lil xan
Jahseh Dwayne Ricardo onfroy=xxx tectantion
Gazzy garzia=lil pump
Symere Wood=lil Uzi vert
Miles park mc collum=lil yacht
David Andrew burd =lil dicky
Khalif malik lbn schaman Brown=swae Lee
Kimetrius Christopher foose =lil skies
Daniel Hernandez=tekashi 6ix9ine
 
Leleth Khumalo=Sarafina
Whoop Goldsberg=Miss Masumbuka
 
Duniani kote watu maarufu - wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki, waigizaji na wengineo - wamekuwa wakitumia majina tofauti na majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa. Kuna sababu tofauti zinazosababisha hali hii. Mfano, kufupisha jina refu, kutumia jina maarufu/la utani, kubadilisha dini nk. Nimebahatika kufahamu majina halisi/kamili ya wafuatao:

Abedi Ayew - Abedi 'Pele'
Cassius Marcellus Clay Jr. - Muhammad Ali
Edson Arantes do Nascimento aka Pele - PELE
John Michael Nchekwube Obinna - John Obi Mikel
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham - Tammy Abraham
Oluwafikayomi Oluwadamilola Tomori - Fikayo Tomori
Ronaldo de Assis Moreira - Ronaldinho
Thomas Cruise Mapother IV - Tom Cruise
William Bradley Pitt - Brad Pitt
William Jefferson Clinton/William Jefferson Blythe III - Bill Clinton

Je ni watu gani wengine maarufu unaofahamu majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa ambayo ni tofauti na yale tuliyoyazoea?
Jayceon Terrell Taylor, better known by his stage name THE GAME, is an American rapper, songwriter, record producer and actor.
 
Back
Top Bottom