Duniani kote watu maarufu - wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki, waigizaji na wengineo - wamekuwa wakitumia majina tofauti na majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa. Kuna sababu tofauti zinazosababisha hali hii. Mfano, kufupisha jina refu, kutumia jina maarufu/la utani, kubadilisha dini nk. Nimebahatika kufahamu majina halisi/kamili ya wafuatao:
Abedi Ayew - Abedi 'Pele'
Cassius Marcellus Clay Jr. - Muhammad Ali
Edson Arantes do Nascimento aka Pele - PELE
John Michael Nchekwube Obinna - John Obi Mikel
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham - Tammy Abraham
Oluwafikayomi Oluwadamilola Tomori - Fikayo Tomori
Ronaldo de Assis Moreira - Ronaldinho
Thomas Cruise Mapother IV - Tom Cruise
William Bradley Pitt - Brad Pitt
William Jefferson Clinton/William Jefferson Blythe III - Bill Clinton
Je ni watu gani wengine maarufu unaofahamu majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa ambayo ni tofauti na yale tuliyoyazoea?
Nicholas Diego leonos=lil xanDuniani kote watu maarufu - wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki, waigizaji na wengineo - wamekuwa wakitumia majina tofauti na majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa. Kuna sababu tofauti zinazosababisha hali hii. Mfano, kufupisha jina refu, kutumia jina maarufu/la utani, kubadilisha dini nk. Nimebahatika kufahamu majina halisi/kamili ya wafuatao:
Abedi Ayew - Abedi 'Pele'
Cassius Marcellus Clay Jr. - Muhammad Ali
Edson Arantes do Nascimento aka Pele - PELE
John Michael Nchekwube Obinna - John Obi Mikel
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham - Tammy Abraham
Oluwafikayomi Oluwadamilola Tomori - Fikayo Tomori
Ronaldo de Assis Moreira - Ronaldinho
Thomas Cruise Mapother IV - Tom Cruise
William Bradley Pitt - Brad Pitt
William Jefferson Clinton/William Jefferson Blythe III - Bill Clinton
Je ni watu gani wengine maarufu unaofahamu majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa ambayo ni tofauti na yale tuliyoyazoea?
Jayceon Terrell Taylor, better known by his stage name THE GAME, is an American rapper, songwriter, record producer and actor.Duniani kote watu maarufu - wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki, waigizaji na wengineo - wamekuwa wakitumia majina tofauti na majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa. Kuna sababu tofauti zinazosababisha hali hii. Mfano, kufupisha jina refu, kutumia jina maarufu/la utani, kubadilisha dini nk. Nimebahatika kufahamu majina halisi/kamili ya wafuatao:
Abedi Ayew - Abedi 'Pele'
Cassius Marcellus Clay Jr. - Muhammad Ali
Edson Arantes do Nascimento aka Pele - PELE
John Michael Nchekwube Obinna - John Obi Mikel
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham - Tammy Abraham
Oluwafikayomi Oluwadamilola Tomori - Fikayo Tomori
Ronaldo de Assis Moreira - Ronaldinho
Thomas Cruise Mapother IV - Tom Cruise
William Bradley Pitt - Brad Pitt
William Jefferson Clinton/William Jefferson Blythe III - Bill Clinton
Je ni watu gani wengine maarufu unaofahamu majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa ambayo ni tofauti na yale tuliyoyazoea?
Jina la mamy baby sio hiloYeah ni fan sana wa hii Radio,naiskiliza 24/7
Alright I get U Buddy.Hapo kwa Nick Cannon ni Nicholas sio Nickson.
Mkuu ID yako ni nomaDaudi Albert Bashite- Paulo makonda
yaani hakuna mwanamziki ambae namkubali dunia kama huyu jamaa ...nina nyimbo zake kama zote kwa hiyo bamdogo ni cheo nimempa bure
hapa nipo nakula album yake ya indigo wacha weweNaona kama we are on the same boat,,,huyu jamaa namkubali dunia ya 12
Hapa sasa ndo nimeelewa vzuri hizi akaDaudi Albert Bashite- Paulo makonda
Kwa maana nyingine ni mume Wa mama yako mdogoyaani hakuna mwanamziki ambae namkubali dunia kama huyu jamaa ...nina nyimbo zake kama zote kwa hiyo bamdogo ni cheo nimempa bure