Watu maarufu na majina halisi waliyopewa wakati wa kuzaliwa

Hiyo S.J. ni nini? Cheo, initials au?
1570017851192.png

The Society of Jesus is a religious order of the Catholic Church headquartered in Rome. It was founded by Ignatius of Loyola with the approval of Pope Paul III in 1540. The members are called Jesuits. The society is engaged in evangelization and apostolic ministry in 112 nations. Jesuits work in education, research, and cultural pursuits. Jesuits also give retreats, minister in hospitals and parishes, sponsor direct social ministries, and promote ecumenical dialogue.
 
Waningeria wengu ndio hivyo - wawe maarufu wasiwe maarufu ni lazima wana nickname... Kama wewe ni Mnigeria halafu hauna nickname uhamiaji wanaweza kukuvua uraia wakidhani siyo Mnigeria...
Duniani kote watu maarufu - wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki, waigizaji na wengineo - wamekuwa wakitumia majina tofauti na majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa. Kuna sababu tofauti zinazosababisha hali hii. Mfano, kufupisha jina refu, kutumia jina maarufu/la utani, kubadilisha dini nk. Nimebahatika kufahamu majina halisi/kamili ya wafuatao:

Abedi Ayew - Abedi 'Pele'
Cassius Marcellus Clay Jr. - Muhammad Ali
Edson Arantes do Nascimento aka Pele - PELE
John Michael Nchekwube Obinna - John Obi Mikel
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham - Tammy Abraham
Oluwafikayomi Oluwadamilola Tomori - Fikayo Tomori
Ronaldo de Assis Moreira - Ronaldinho
Thomas Cruise Mapother IV - Tom Cruise
William Bradley Pitt - Brad Pitt
William Jefferson Clinton/William Jefferson Blythe III - Bill Clinton

Je ni watu gani wengine maarufu unaofahamu majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa ambayo ni tofauti na yale tuliyoyazoea?
 
John simon mseke - Joh Makini
Nickson simon - Nikki wa pili
George Sixbeth - G Nako
Lord Eyez - Isack Waziri
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom