Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 2,871
- 5,706
Ila huyu alifufuka siku ya tatu, akapaa mbinguni.Wameshamtaja Yesu wa Nazarethi?
Nahisi ni maarufu zaidi kushinda hao wote wengine. Alikufa alipokuwa na umri wa takriban miaka 30-33.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huyu alifufuka siku ya tatu, akapaa mbinguni.Wameshamtaja Yesu wa Nazarethi?
Nahisi ni maarufu zaidi kushinda hao wote wengine. Alikufa alipokuwa na umri wa takriban miaka 30-33.
huyu Dada naona alifia pale Ruvu darajani kwa ajali ya L/cruiser yake iliingia bondeniregia mtema chadema wanjua walimfanyia
Acha tabia hiyo mbaya ya kichawi.regia mtema chadema wanjua walimfanyia
aliyekuwa anamchukua ni Dod Alfayed9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho