Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,231
Hivi huyu aliekuwa mtendaji mkuu wa TANESCO (Mhando) na wenzake wanastahili adhabu gani kwa kutengeneza mgao wa maksudi hadi yafuatayo yakawaathiri ambao kimsingi wanaishi maisha ya chini kama wanyama:
1. WaTZ kuingia gharama ya kununua Generata za emergence,
2.Viwanda kushindwa kufanya uzalishaji kwa kukosa umeme na bidhaa kupanda mara dufu
3. Ajira za watu kupotea baada ya viwanda kushindwa kufanya kazi,
4. Gharama za umeme kupanda kwa sababu ya mafuta ya kifisadi,
5. Kununua nguzo 1 ya umeme kwa zaidi ya Milioni 1,
6. Wanafunzi kushindwa kujisomea kwa sababu ya ukosefu wa umeme, nk
KWA UFISADI HUU ULIOTENDEKA, MWENYEZI MUNGU TUNAOMBA MSAADA WAKO
1. WaTZ kuingia gharama ya kununua Generata za emergence,
2.Viwanda kushindwa kufanya uzalishaji kwa kukosa umeme na bidhaa kupanda mara dufu
3. Ajira za watu kupotea baada ya viwanda kushindwa kufanya kazi,
4. Gharama za umeme kupanda kwa sababu ya mafuta ya kifisadi,
5. Kununua nguzo 1 ya umeme kwa zaidi ya Milioni 1,
6. Wanafunzi kushindwa kujisomea kwa sababu ya ukosefu wa umeme, nk
KWA UFISADI HUU ULIOTENDEKA, MWENYEZI MUNGU TUNAOMBA MSAADA WAKO