Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
mmetulia mnafuatilia mechi kwenye skrini mnashangaa ghafla watu fulani wanainuka na kuanza kushangilia goli (wkt kwenye skrini goli halijafungwa) baada ya muda ndo mnaona goli linafungwa. ukifatilia utagundua vijamaa vimekaa vina kiredio mkulima kwapani. tabia hii inaniboa sana inaondoa hata ladha ya kuangalia mechi.