technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Ifuatayo ni wanaomiliki kadi mbili ya vyama tofauti .
1: Lowassa kadi ya Ccm na Chadema
2: Sumaye ya kadi Ccm na Chadema
3: Zitto kadi ya Chadema na ACT
4: Lyatonga kadi ya Ccm na Nccr
5: Kafulila kadi ya Nccr na Chadema
6: Lipumba kadi ya CUF na Ccm
7: Lwakatale kadi ya CUF na chadema
8: Mpendazoe kadi ya Chadema na Ccm
9: Cheyo kadi ya UDP na Ccm.
Na wengine wengi swali linakuja.
Kwanini uwa hawarudishi kadi wanapoondoka chama kimoja kwenda kingine?.
Kwanini wanabaki na kadi zao wakati wameshakimbia vyama ?.
1: Lowassa kadi ya Ccm na Chadema
2: Sumaye ya kadi Ccm na Chadema
3: Zitto kadi ya Chadema na ACT
4: Lyatonga kadi ya Ccm na Nccr
5: Kafulila kadi ya Nccr na Chadema
6: Lipumba kadi ya CUF na Ccm
7: Lwakatale kadi ya CUF na chadema
8: Mpendazoe kadi ya Chadema na Ccm
9: Cheyo kadi ya UDP na Ccm.
Na wengine wengi swali linakuja.
Kwanini uwa hawarudishi kadi wanapoondoka chama kimoja kwenda kingine?.
Kwanini wanabaki na kadi zao wakati wameshakimbia vyama ?.