TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Hakika. Lakini pia kuweka kumbukumbu sahihi, Kati ya hao ni Zitto Kabwe na Kafulila tu ndo hawana kadi za CCM.Naona hapo CCM zipo nyingi maana yake ni kwamba watu wana imani na CCM ila wapo upinzani kwa maslahi binafsi