Watu hawa huwa hawavutii kabisa kuongea kwenye media lakini kutwa kujiweka kimbelembele kuongea sijui huwa hawajisikilizi?

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
  1. Wa kwanza kabisa anaeboa kumsikiliza ni huyu FATUMA KARUME mpeni ushauri asiwe anaongea kwenye media; kwanza hajui hata kupangilia maneno; awaachie watu kama kina ZITTO, LISSU n.k wenye Uwezo wahit point kwa mda sitahiki.
  2. EBITOKE; Hiki kisichana nacho sikipendi, kwanza kinaboa sijui huwa hakijisikilizi?
  3. DOKII Wa EFM yaani huyu Dada nae chenga tupu, sijui ndo fasheni yake lakini havutii kabisa
  4. DR. PANJUANI mwenye sauti ya kihindi; hana creativity zaidi ya kuboa.
na wengineo wanakwaza sana kuwasikiliza; Bahati mbaya hawajijui kama wanakera!
 
  1. Wa kwanza kabisa anaeboa kumsikiliza ni huyu FATUMA KARUME mpeni ushauri asiwe anaongea kwenye media; kwanza hajui hata kupangilia maneno; awaachie watu kama kina ZITTO, LISSU n.k wenye Uwezo wahit point kwa mda sitahiki.
  2. EBITOKE; Hiki kisichana nacho sikipendi, kwanza kinaboa sijui huwa hakijisikilizi?
  3. DOKII Wa EFM yaani huyu Dada nae chenga tupu, sijui ndo fasheni yake lakini havutii kabisa
  4. DR. PANJUANI mwenye sauti ya kihindi; hana creativity zaidi ya kuboa.
na wengineo wanakwaza sana kuwasikiliza; Bahati mbaya hawajijui kama wanakera!
Kumbe wanga hata jamiiforums wapo
 
Back
Top Bottom