Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Cangi vijola
Na bado wanapokua hewani unawasha radio yako kuwasikiliza! Huo ni mtazama na hisia zako juu ya hao wanaokukera kama ambavyo kuna maelf kadhaa ya wengine ambao hawakerekwi nao sema tu hawajatumia fursa kama hii ya JF kueleza msimamo waona wengineo wanakwaza sana kuwasikiliza; Bahati mbaya hawajijui kama wanakera!
- Wa kwanza kabisa anaeboa kumsikiliza ni huyu FATUMA KARUME mpeni ushauri asiwe anaongea kwenye media; kwanza hajui hata kupangilia maneno; awaachie watu kama kina ZITTO, LISSU n.k wenye Uwezo wahit point kwa mda sitahiki.
- EBITOKE; Hiki kisichana nacho sikipendi, kwanza kinaboa sijui huwa hakijisikilizi?
- DOKII Wa EFM yaani huyu Dada nae chenga tupu, sijui ndo fasheni yake lakini havutii kabisa
- DR. PANJUANI mwenye sauti ya kihindi; hana creativity zaidi ya kuboa.
Meena Ally
Huyu dada anamuharibia millard kipindi kabisa! Sipendi hashuo zake..
Cangi vijola
huwa nazima kabisa wakianza kuongea haoNa bado wanapokua hewani unawasha radio yako kuwasikiliza! Huo ni mtazama na hisia zako juu ya hao wanaokukera kama ambavyo kuna maelf kadhaa ya wengine ambao hawakerekwi nao sema tu hawajatumia fursa kama hii ya JF kueleza msimamo wao
lakini kipawa hakilazimishwi; kila mtu na kipawa chake, siyo kila mtu anaweza kuongea kwenye media, kama una kitete, wenge au kigugumizi kiherehere cha kuongea kwenye media hakifai! Audience inakuwa inatumia nguvu kubwa sana kukuelewa!
!
Hatuwezi Wooote Kufanana. Kila Mtu Ana Namna Yake Ya Kufanya Jambo
King msukuma anajua kupangilia maneno,Bashite pia anaongea vizuri. Magufuli pia anaongea vizuri.Umewasahau wasukma watatu. 1. Magufuli, 2. Makonda, 3.king musukuma
Wengine mbona mnawaogopa...!!?
Tuonyeshe ujasiri kwa kumtaja aliebaki!
Tatizo nasikia anakula Mirungi! kwani hawana Akaunti humu tuwaite?Meena Aly ananiboa sana kiasi kwamba kipindi cha amplifaya komepoteza ladha angebaki Millard peke yake..
lakini kipawa hakilazimishwi; kila mtu na kipawa chake, siyo kila mtu anaweza kuongea kwenye media, kama una kitete, wenge au kigugumizi kiherehere cha kuongea kwenye media hakifai! Audience inakuwa inatumia nguvu kubwa sana kukuelewa
6. Haji Manara5. MWINYI ZAHERA
wapo wasemaji awatumie hao! unafikiri kwanini chadema wanapenda kumtumia LISSU KUSEMA! Jamaa ana vocals, anajua kupangilia maneno, anajua kufikisha ujumbe kwa mda mfupi, na hiyo ndo sifa kuongea mbele ya hadhira! wanatakiwa wasitumie nguvu kubwa kukuelewa!!
!
Kwa Hiyo Akiwa Na Jambo Lake Anataka Kuongea Na Wanahabari Awe Anaajiri Mtu Wa Kufanya Hivyo, Au? Wewe Mtazamo Wako Uko Hivyo Havutii, Wengine Wanafikiria Tofauti Na Wewe Wanaona Anavutia. Mzoee Tu