Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Ukienda bar ukawakuta wachaga na wasukuma washamba ujue unaweza kuishia kuwa na stress za kufa mtu!
Wachaga watakuwa wanapiga makelele na kujisifu kuwa wana pesa wakati wasukuma nao watakuwa wanapiga makelele na kuimba kwa nguvu kuwa ni vidume na wana pesa za kununua bar!
Kwa kweli watu hawa wananiharibia evening yangu!
Wachaga watakuwa wanapiga makelele na kujisifu kuwa wana pesa wakati wasukuma nao watakuwa wanapiga makelele na kuimba kwa nguvu kuwa ni vidume na wana pesa za kununua bar!
Kwa kweli watu hawa wananiharibia evening yangu!