Watu ambao muda mwingi wapo active sana kwenye social media wanaendeshaje maisha yao?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wanabodi.

Kuna watu muda karibu wote wapo active mno kwenye social media hasa tweeter , instagram , JF na Facebook!

Muda baada ya kazi (hasa jioni) nikifungua tu nakuta threads zao za tokea asubuhi, mchana na kuendelea. Na bado nikilala , kesho yake nagundua usiku waliendelea kuchart na kutupia vitu kwenye mitandao kadhaa ya kijamii! Siyo kitu kibaya , ni kizuri tu.

Kuna watu maarufu tu kama wasanii , wanaharakati , waheshimiwa na vigogo wa serikali.

Najua kuna kundi la watu (VIP) ambao kuna vijana wanaoperate social media kwa majina yao. Hawa tuwaweke kando kidogo.

Nazungumzia watu wa chini au kati ambao muda mwingi (karibu wote) wapo busy sana.

Kazi wanafanya saa ngapi?

Maisha yanakwendaje bila kuwa busy na kazi?
 
Ni tegemezi wa ndugu zao, wazazi na wengine wafanyabiashara wa mitandaoni
Wako wenye nyumba za kupangisha,wamiliki daladala, bodaboda, malori, mabasi nk ambao husubiria hesabu tu

Wako ambao kazi zao ni kushinda mitandaoni na wanalipwa kwa kazi hiyo, wako ambao kazi zao nk usiku sio mchana nk kuna wengine ni taasisi japo unaona jina moja wanapokezana shift nk
 
kuna kazi za kutumia internet full time hivyo, mtu anapumzikia kwa social media akili ikichoka. wengine wanasubiri ajira nyingine au mpya, hobby au kuwa na asset za kukuingizia kipato hata usingizini . Haina mbaya so long as haikwamishi life la mtu
 
Wanabodi.

Kuna watu muda karibu wote wapo active mno kwenye social media hasa tweeter , instagram , JF na Facebook!

Muda baada ya kazi (hasa jioni) nikifungua tu nakuta threads zao za tokea asubuhi, mchana na kuendelea. Na bado nikilala , kesho yake nagundua usiku waliendelea kuchart na kutupia vitu kwenye mitandao kadhaa ya kijamii! Siyo kitu kibaya , ni kizuri tu.

Kuna watu maarufu tu kama wasanii , wanaharakati , waheshimiwa na vigogo wa serikali.

Najua kuna kundi la watu (VIP) ambao kuna vijana wanaoperate social media kwa majina yao. Hawa tuwaweke kando kidogo.

Nazungumzia watu wa chini au kati ambao muda mwingi (karibu wote) wapo busy sana.

Kazi wanafanya saa ngapi?

Maisha yanakwendaje bila kuwa busy na kazi?

Wanaoshanga ni wale wenye akili za ki zamani ambapo uzalishaji ulipimwa kwa kutoka Jasho . Siku hizi unaweza ukaweka vitegauchumi vyako vya kutosha kukupa matumizi yako na ziada kisha ukapata muda wa kutosha kushinda kwenye mitandao. Akili ni nywele wengi ni vipara!
 
Wengi wao ni wanawake masaa yote wapo kwenye simu na kuchati hata ukimuajiri mwanamke biashara yako haita enda vizuri maana macho yote kwenye simu na wapili ni wale mboga saba wasiokuwa na kazi akirudi nyumbani anakuta mama yake kamuwekea chakula kwenye hot pot mboga saba huyo katoka kupiga stori kijiweni
Wanabodi.

Kuna watu muda karibu wote wapo active mno kwenye social media hasa tweeter , instagram , JF na Facebook!

Muda baada ya kazi (hasa jioni) nikifungua tu nakuta threads zao za tokea asubuhi, mchana na kuendelea. Na bado nikilala , kesho yake nagundua usiku waliendelea kuchart na kutupia vitu kwenye mitandao kadhaa ya kijamii! Siyo kitu kibaya , ni kizuri tu.

Kuna watu maarufu tu kama wasanii , wanaharakati , waheshimiwa na vigogo wa serikali.

Najua kuna kundi la watu (VIP) ambao kuna vijana wanaoperate social media kwa majina yao. Hawa tuwaweke kando kidogo.

Nazungumzia watu wa chini au kati ambao muda mwingi (karibu wote) wapo busy sana.

Kazi wanafanya saa ngapi?

Maisha yanakwendaje bila kuwa busy na kazi?
 
Mimi kwa nature ya kazi yangu tu lazima niww online muda mwingi
Kwanza kazi yenyewe ni ya online, pili 90% ya muda wote sifanyi kazi, kazi zinakuja ila zinatumia muda kidogo sana kuzifanya
 
Wanabodi.

Kuna watu muda karibu wote wapo active mno kwenye social media hasa tweeter , instagram , JF na Facebook!

Muda baada ya kazi (hasa jioni) nikifungua tu nakuta threads zao za tokea asubuhi, mchana na kuendelea. Na bado nikilala , kesho yake nagundua usiku waliendelea kuchart na kutupia vitu kwenye mitandao kadhaa ya kijamii! Siyo kitu kibaya , ni kizuri tu.

Kuna watu maarufu tu kama wasanii , wanaharakati , waheshimiwa na vigogo wa serikali.

Najua kuna kundi la watu (VIP) ambao kuna vijana wanaoperate social media kwa majina yao. Hawa tuwaweke kando kidogo.

Nazungumzia watu wa chini au kati ambao muda mwingi (karibu wote) wapo busy sana.

Kazi wanafanya saa ngapi?

Maisha yanakwendaje bila kuwa busy na kazi?
Social media pia ni vituo Vya kazi. Social media imeajiri watu wengi Sana.
 
Wengine tupo mitandaoni kama samaki alivyo majini.

Hiyo mitandao yenyewe Facebook na Twitter inetukuta mtandaoni.

Tupo tangu enzi za Geocities na Lycos, Astalavista na Excite, Mailcity na Hotmail.

Enzi za Nyenzi.com na Darhotwire. Youngafricans na Jamboforums.

Tuna Wi-Fi na Bluetooth mpaka kwenye miswaki.

Mitandaoni ni nyumbani.
 
Watu wenye kukaa mtandaoni mda wote ujue hata akili zao zimekaa kimtandao tandao...jaribu kupima utaniambia
 
Wanabodi.

Kuna watu muda karibu wote wapo active mno kwenye social media hasa tweeter , instagram , JF na Facebook!

Muda baada ya kazi (hasa jioni) nikifungua tu nakuta threads zao za tokea asubuhi, mchana na kuendelea. Na bado nikilala , kesho yake nagundua usiku waliendelea kuchart na kutupia vitu kwenye mitandao kadhaa ya kijamii! Siyo kitu kibaya , ni kizuri tu.

Kuna watu maarufu tu kama wasanii , wanaharakati , waheshimiwa na vigogo wa serikali.

Najua kuna kundi la watu (VIP) ambao kuna vijana wanaoperate social media kwa majina yao. Hawa tuwaweke kando kidogo.

Nazungumzia watu wa chini au kati ambao muda mwingi (karibu wote) wapo busy sana.

Kazi wanafanya saa ngapi?

Maisha yanakwendaje bila kuwa busy na kazi?
Ili ujue mtu yuko active muda wote nawe unatakiwa kuwa ama active kama yeye ama kumzidi..asante! Halafu usikariri maisha yana masikio ukiyakazia sana yanakupiga za uso!
 
vipi kuhusu wale walioajiriwa ku operate social platforms za makampuni na mashirika makubwa?.

kuna kampuni moja kubwa hapa tz niliwahi kuitembelea hivi karibuni, nikakuta idara yao ya masoko imeajiri vijana kama 15 hivi, kila mtu na computer yake.

moja kati ya majumu yao ni kusimamia na kuendesha online platforms za kampuni. jamaa wako very organized. wanazo mpaka night shift.
 
Back
Top Bottom