Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Serikali bado inazidi kuonyesha unfair justice kwa umma wa Tanzania mara baada ya kamata kamata ya watu wanahusika na kumuuwa Bwana Clemet Mabina alipokuwa anapora shamba la wanakijiji.
Huu alikuwa anafanya wizi kama wezi mwingine ila kwa kuwa yupo kwenye chama cha serikali tungojee mengi kutokana na hili.
Ni watu na raia wangapi wanakufa na hakuna kamatakamata wala uchunguzi unaofanyika???
Bomu la Kanisani, bomu la soweto na mengine mengi kwanini iwe kwa wanachama wa CCM na vibaraka wake tu???
Huu alikuwa anafanya wizi kama wezi mwingine ila kwa kuwa yupo kwenye chama cha serikali tungojee mengi kutokana na hili.
Ni watu na raia wangapi wanakufa na hakuna kamatakamata wala uchunguzi unaofanyika???
Bomu la Kanisani, bomu la soweto na mengine mengi kwanini iwe kwa wanachama wa CCM na vibaraka wake tu???