Watu 6 wamepoteza maisha yao na wengine zaida ya 150,000 wameathirika kutokana na mvua nzito

Dunia yakoo

Senior Member
Nov 23, 2019
139
214
Watu 6 wamepoteza maisha yao na wengine zaida ya 150,000 wameathirika kutokana na mvua nzito nchini Sri Lanka, kituo kinachosimamia maswala ya maafa nchini humo (DMC) kiliripoti leo (Jumatano)
.
Rais wa Sri Lanka aliwashauri maafisa wote wa wizara zote na mawakala wa serikali kushirikiana na wizara ya ulinzi na DMC kwa lengo la kujiandaa na hatua za haraka za uokoaji katika tukio la mafuriko, maporomoko ya ardhi na vilevile yanayosababishwa na mvua nzito.
Takriban watu 900 wamehamishwa kwa malazi salama huku zaidi ya nyumba 350 zimeharibiwa kabisa. Mvua ya zaidi ya milimita 150 inatarajiwa katika siku zijazo katika maeneo ya kaskazini, mashariki na kusini mwa pwani mwa nchi hiy


china.jpg
 
Duh mvua za mwaka huu sio za mchezo mchezo,
Hata hapa Carlifonia Marekani jana ilinyesha mvua kubwa haswaa ilibidi tuwashe heater ndani kutokana na baridi kuzidi kuwa kali
 
Duh mvua za mwaka huu sio za mchezo mchezo,
Hata hapa carlifonia marekani jana ilinyesha mvua kubwa haswaa ilibidi tuwashe heater ndani kutokana na baridi kuzidi kuwa kali
Huyo Bush aliyeshinda kwa bao la mkono yuko salama? Linapenda misifa hilo lijamaa na lingekua linajua kama jakuna ampendaye angebadilisha tabia. Hata my wife wake amemchoka sema tu ex president wa marekani sio mtu wa kawaida.
Siku hizi hata rafiki wa kweli hana
 
Philippines imeondoka na kajikisiwa kazima. Na kule Solomon islands ndio hata kusimulia siwezi maana mwandishi wa habari aliyetumwa na Mbeya TV hapokei simu na ya kimada wake haipatikani.
Nimepigiwa ramli na sheikh ulabu amesema hilo wingu linaelekea pwani ya Kenya na Msumbiji
 
Duh mvua za mwaka huu sio za mchezo mchezo,
Hata hapa carlifonia marekani jana ilinyesha mvua kubwa haswaa ilibidi tuwashe heater ndani kutokana na baridi kuzidi kuwa kali
Hata hapa Ontarior imentesha kubwa juzi.
 
Duh mvua za mwaka huu sio za mchezo mchezo,
Hata hapa Carlifonia Marekani jana ilinyesha mvua kubwa haswaa ilibidi tuwashe heater ndani kutokana na baridi kuzidi kuwa kali
Sri Lanka ni kati ya nchi zinazopokea mvua nyingi sana kwa miaka yote
 
Back
Top Bottom