Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,547
Haya matapeli yanalipana posho pekeeZile pesa za tozo tunakubali kukatwa zikanunue mitungi ya gesi tusaidie wa Tanzania wenzetu, lakini sio kujenga magofu....
Haya matapeli yanalipana posho pekeeZile pesa za tozo tunakubali kukatwa zikanunue mitungi ya gesi tusaidie wa Tanzania wenzetu, lakini sio kujenga magofu....
Ni zaidi ya hao, mara 100Waziri wa Afya, Dk Dorothy Gwajima amesema hadi sasa jumla ya watu 29 wamefariki kutokana na wimbi la tatu la Covid-19 huku jana pekee kukiwa na wagonjwa wapya 176.
Idadi hiyo inafikisha Tanzania kuwa na jumla ya wagonjwa 858 wa Covid-19.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Dk Dorothy amesema takwimu hizo ni alizopata jana hivyo upo uwezekano vifo zaidi vikawa vimetokea.
Waziri ameeleza kuwa licha ya Serikali kuendelea kusisitiza watu kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo bado wapo wanaozembea.
“Itoshe kuwaambia kuwa ugonjwa upo na watu wanakufa, tusingependa kupeana hizi taarifa za vifo tuchukue tahadhari, kila mmoja wetu ajiulize unapofanya mambo kinyume na kuchukuta tahadhari unalenga kumtesa nani,” amesema Dk Gwajima.
Waziri huyo pia alitupa lawama kwa viongozi wa Serikali ambao hawashiriki kwenye vita vya kupambana na ugonjwa huo.
“Nawakumbusha watu hawa wasiotaka kwenda mstari wa mbele wasichukulie mzaha Uviko 19, ugonjwa huu upo tusijiachie kwa sababu wimbi la kwanza na la pili lilipita,”.
Mwananchi
Kabisa aseeChapu shule za Kilimanjaro na Arusha zifungwe sio mpaka hali iwe mbaya zaidi. Na makanisani tahadhari iwekubwa
Hizi posti Kama hizi zimewahi kutolewa hapa tokea kipindi kile kwa mtaani kwa mtu wameshazika wengi! Mimi nipo dar es laam sio tu mtaa ninaokaa Bali karibu kata nzima sijawahi ona Wala kusikia hayo wasemayo! Labda hip mitaa mnayosema Ni InvisibleMkuu huu ugonjwa upo, mtaani kwangu nimezika wazee kama wa 3...
Tena watanzania walivyowaoga. Sasa hivi utaona mikusanyiko kwenye vituo vya afya kama usajili wa nida.Hii Corona naona inachukuliwa kwa mzaha na wengi, sijui tatizo ni nini, nionavyo wabongo bila kuugua hawaamini kama huu ugonjwa upo, na huko hospitalini oxygen hakuna yakutosha.
Itachukua muda sana Corona kuondoka Tanzania, hizi kauli za Waziri wengi wanaziona kama matamko tu ya kisiasa, naamini ipo siku watu watazitafuta chanjo wenyewe, only a matter of time.
mtaani kwangu nimezika wazee kama wa 3...
Mbona unateseka sana?Hii Corona naona inachukuliwa kwa mzaha na wengi, sijui tatizo ni nini, nionavyo wabongo bila kuugua hawaamini kama huu ugonjwa upo, na huko hospitalini oxygen hakuna yakutosha.
Itachukua muda sana Corona kuondoka Tanzania, hizi kauli za Waziri wengi wanaziona kama matamko tu ya kisiasa, naamini ipo siku watu watazitafuta chanjo wenyewe, only a matter of time.
Ugonjwa una walakini huu! mkuu ukae ukijua kuzikana hatukuanza leo.Mfano huku kitaa watu wakifa utasikia eeh corona! hata ndugu tu wanashangaa.wanadandia vifo tu ili kuhalalisha ugonjwa waoMkuu huu ugonjwa upo, mtaani kwangu nimezika wazee kama wa 3...
Ugonjwa una walakini huu! mkuu ukae ukijua kuzikana hatukuanza leo.Mfano huku kitaa watu wakifa utasikia eeh corona! hata ndugu tu wanashangaa.wanadandia vifo tu ili kuhalalisha ugonjwa waoMkuu huu ugonjwa upo, mtaani kwangu nimezika wazee kama wa 3...
Sio mzee tu hata huyo mamamzee alisha mislead watu. na wakaamini.. sasa ku reverse hiyo effect ni ngumu