Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 994
Huyu atakuwa a lonely wolf
Ah! Wapi! US hawana muda wa kujua dini ya muhusika... jina tu na ethnicity vinatosha kutoa conclusion!Wanasubiri kwanza kujua dini ya Mshambuliaji ndio waamue Kama ni uhalifu wa kawaida au Ugaidi
Wanasubiri kwanza kujua dini ya Mshambuliaji ndio waamue Kama ni uhalifu wa kawaida au Ugaidi
Kwasababu sio muislamMbona hawalisemi Kama ni terrorist attack
So long as ni Mzungu, huyo haitwi terrorist but just a shooter or a gunman!!
Sasa mjinga kati yangu na wewe ni nani?! Kuna mahali nilipotaja Mwarabu?! We jamaa wa wapi wewe?Timothy McVeigh ni mwarabu?
Terry Nichols ni mwarabu?
Eric Rudolph ni mwarabu?
Ted Kaczinsky je?
Unajua hao ni akina nani?
Acheni kuendekeza ujinga bana.
Terrorism ina fasili yake. Sasa kama jambo siyo terrorism mnataka liitweje?
Mjinga ni wewe.Sasa mjinga kati yangu na wewe ni nani?! Kuna mahali nilipotaja Mwarabu?! We jamaa wa wapi wewe?
Gaidi ni Muslim tu.Mbona hawalisemi Kama ni terrorist attack
huyo pia ni gaidi wa kimarekani hakuna kupepesa macho
Hakuna wazungu Wamarekani ambao ni magaidi?Nadhani ameshatambulika ni Mzungu na Mkriso kwa mujibu wa Mtandao wa RT.com, nadhani neno Gaidi limeshafutika rasmi kwenye tukio hili, isipokuwa itaitwa tukio la ufyatulianaji risasi au mtu anayehofiwa kuwa na matatizo ya kiakili. Kiukweli Vyombo vya habari vina nguvu sana.
afit mara ngapi uyo ni gaidi tu au kwa sababu hajajilipuaAkifit definition ya ugaidi basi ataitwa hivyo.
Ikumbukwe, si kila muuaji ni gaidi by definition.
Mjinga ni wewe uliyesema huyo muuaji hawezi kuitwa gaidi kwa sababu ni mzungu.Mjinga ni wewe unayekurupuka!! Jbu swali, wapi nimetaja Waarabu?
Timothy McVeigh ni mwarabu?
Terry Nichols ni mwarabu?
Eric Rudolph ni mwarabu?
Ted Kaczinsky je?
Unajua hao ni akina nani?
Acheni kuendekeza ujinga bana.
Terrorism ina fasili yake. Sasa kama jambo siyo terrorism mnataka liitweje?
Sasa mjinga kati yangu na wewe ni nani?! Kuna mahali nilipotaja Mwarabu?! We jamaa wa wapi wewe?
....a person who uses illegitimate violence and intimidation, especially against civilians, in pursuing political goals is a terrorist.afit mara ngapi uyo ni gaidi tu au kwa sababu hajajilipua