Watu 100 wamepoteza maisha Libya-tayari Libya haikaliki

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Zaid ya watu mia 1 wamepoteza maisha mjini sirte baada ya bomba la mafuta kulipuliwa,inasemekana watu hao wamekufa baada ya kuungua kabisa
sosi:dw radio
 
Wadau weng walitabiri hlo,ina maana hao watu wa Sirte wameamua kumwaga MBOGA!
Hakuna aloucshwa na hlo 2kio
 
Mungu pekee akasimame na aonekane pale kwani Mi nahisi hiyo ni cha mtoto.

hasa pale wanaofanya hivyo hawana p.u.m.b.u za kuwawezesha kusimama waziwazi na kupigana kama wanaume bali mambo ya akina alshabab na alqaida the masters of asymmetrical warfare.
 
Walisema hali itakuwa shwwari baada ya miezi 8(ukaitishwa uchaguzi) kwa hiyo kipindi hiki cha mpito tutasikia mengi tu.
 
Kwanini wanauana wakati M.G ameisha kufa?NATO fanyeni msako nyumba hadi nyumba teh
 
Kwa kawaida nchi yoyote ikimuua mkuu wa nchi ambayo kiutaratibu haujawekwa vizuri mara nyingi inafikia katika machafuko ya ndani kwa ndani ya nchi husika kama ilivyo kwa Libya na mataifa mengine yaliyokwisha chafuka. Huwa haichukui muda mfupi kutulia.
 
Back
Top Bottom