Bobwe2
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,463
- 2,339
Aliuliwa kwa risasi na rais wa tanganyika ili tanganyika ipate kuitawala zanzibar kirahisi.Na vip kuhusu karume
Aliuliwa kwa risasi na rais wa tanganyika ili tanganyika ipate kuitawala zanzibar kirahisi.Na vip kuhusu karume
Ila namba 4 arekebishe kidogo...Umewasilisha vyema
Ko Pakistani ni watu gani ????.Ila namba 4 arekebishe kidogo...
Bhutto hakuwahi kuongoza taifa la kiarabu.
Pakistani siyo waarabu!
Yaaah nikweli nime cheki google mkuuIla namba 4 arekebishe kidogo...
Bhutto hakuwahi kuongoza taifa la kiarabu.
Pakistani siyo waarabu!
Si wana jamii ya kihindi hivi eeh et mkuu ...Ila namba 4 arekebishe kidogo...
Bhutto hakuwahi kuongoza taifa la kiarabu.
Pakistani siyo waarabu!
equal rights.....the other side.Kimsingi mtoa mada asingeweza kuwatosheleza wote na mahitaji yao na wengi wamesoma ili kupinga tu....
Hongera sana mkuu kwa uzi wako japokuwa ningependa kuwaona Peter Tosh na Lucky Dube kwenye orodha yako,lakini kama nilivyosema ni ngumu kututosheleza wote maana kila mmoja ana watu wake anaowakubali na hao unawakubali wewe....
Hongera kwa uzi mzuri mkuu...
rejea kichwa cha habari [HASHTAG]#tafadhali[/HASHTAG]List ni ndefu sn..
Michael jackson
mother theresa
pope Benedict
princess Diana
Che guavara n etc..Sema Bi Benazir butto alionywa kabisa asifike pakistan ktk kipinDi cha kampeni, But she didnt take it serious n what happened HappeneD..
Maelezo mazuri Mkuu
Keep it up
Iran, Pakistan na Afghanistan siyo waarabu.Si wana jamii ya kihindi hivi eeh et mkuu ...
Daah mkuu umenifungua nlizani ni waarabu .....yaah nikwel Pakistan Afghanistan na Irani sio Arabic ...nimecheki googleIran, Pakistan na Afghanistan siyo waarabu.
Wao ni dugu moja na kina Kanjibhai!
Gaddafi, Osama pia mbn hawapo?Ni noma sana...ila huyo Benazir Butto, ndo nlisikitika sana kifo chake..huyu mama alikuwa ni amsha sana...vip Ghadafi mkuu kama umemsahau vile?
Umenena mkuuGhadafi hakuuawa kwa style ya waliotajwa hapo!
vifo vya watu hawa vilikuwa ni risilasi za kushiltukizwa na baadaye anaanza kutafutwa nani katekeleza mauaji
Anzisha uzi wako wa wabongo tupuRais wa 1 wa Zanzibar? Kombe? Mnaacha wa home mnakimbilia wazungu?
Hawa nao walikufa kwa risasi kweli au?Mbona wengine wako hai hapo jaman..mfano Pope BenedictList ni ndefu sn..
Michael jackson
mother theresa
pope Benedict
princess Diana
Che guavara n etc..Sema Bi Benazir butto alionywa kabisa asifike pakistan ktk kipinDi cha kampeni, But she didnt take it serious n what happened HappeneD..
Maelezo mazuri Mkuu
Keep it up
Wee mnokooooo huna issueAnzisha uzi wako wa wabongo tupu
I meant to reflect waanzie kwetu.2Pac,Dube,Tosh,Gaddafi,Gandhi,Malcom X,Luther King walikuwa wazungu??????
Che Guevara alikamatwa then akauliwaWengine na wengineo..
Notorius Big (B.I.G)
Ernesto "Che" Guevara,
Huey P. Newton,
Abubakar Tafawa Balewa,
Abeid Karume Sr.,
James A. Garfield
William McKinley,
Patrice Lumumba