maelezo yako yamejitosheleza.Mkuu si ufunguke tu kuwa wewe ndio muhusika.Mimi naona ni bora akajiandaa maeneo yote matatu ambayo ni usaili wa kuandika, kuongea na mazoez mfano kukimbia, pushap na mengineyo, subir na wataalam wengine waje watufahamishe zaid.
maelezo yako yamejitosheleza.
Ungeyaleta humu kabla ingekua bora zaidi.Si mkwara hivi nipo na team watu 4 tumeshauriana tupeleke polisi copy moja ili yakititoka majina yao iwe rahis kujua kuwa awali hayo majina yalikuwepo,ni kweli kuna hizo habari
Ameelewa?