matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,569
- 15,298
Mtaa mmoja Kila siku yamapita magari zaidi ya kumi kushusha watoto. Yaani vile watoto wanaongea 'broken' ni balaa.
Utasikia.....
'' Me is going hooome...''
'' Me is need to pass ''
'' me is my friend is to go homeeeee''
Hii inaniuma maana mtoto akienda english medium lengo kuu ngeli kwanza mengine mbwembwe.
Nasikitika sana kama hili lisipofanikiwa. Wazazi muwafanyie usahili watoto wenu kama wanaongea makorokocho mkawapige mikwara walimu hao au wakuu wa shule.
Utasikia.....
'' Me is going hooome...''
'' Me is need to pass ''
'' me is my friend is to go homeeeee''
Hii inaniuma maana mtoto akienda english medium lengo kuu ngeli kwanza mengine mbwembwe.
Nasikitika sana kama hili lisipofanikiwa. Wazazi muwafanyie usahili watoto wenu kama wanaongea makorokocho mkawapige mikwara walimu hao au wakuu wa shule.