Watoto wengi wa nje ya ndoa kwa wanaume wengi ni wa kike

Mbegu ya kike huenda slow kuifuata ovan japo huishi muda mrefu hata kama isipopata yai. Mbegu ya kiume inaenda kasi katika kulitafuta yani japo huwa na maisha mafupi isipopata yai.

Michepuko mingi huogopa momba hivyo hufanya mapenzi katika siku anazoona yeye zinausalama. Hivyo bas endapo atafanya mapenzi katika siku za mwisho za usalama hapo ndo matatizo huanzia.

Maana mbegu za kiume zitakuwa zimekufa ila za kike zinakuwa bado zinaishi na ikitokea tu yai limetoka kwene ovari hiyoo mpaka ndani japo mhusika alijua kafuata kalender.


Mtazamo wangu huo

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana ikawa jibu sahihi,pamoja na post No.36
 
Hili ni suala la kibiologia, kisayansi zaid. Ndo sababu hiyo hiyo husababisha wanawake kuwa wengi zaidi duniani kuliko wanaume.

Mwanaume anapokojoa hutoa mbegu za aina mbili x (kike) na Y (kiume) , mbegu hizi hutoka kwa maelefu kwa mkojoo mmoja. Tofauti Kati ya hizi mbegu ni muda wa kudumu, x zinasekana kuwa na maisha marefu zaidi kuliko y, X zinakuwa na protein nyingi, nene na zinakuwa na speed ndogo Sana, Y zina protini kdg, nyepesi na zenye speed ingawa zina maisha mafupi.

Watu wengi hukutana kupata starehe, mtoto anatokeaga bahati mbaya, Kwa hiyo wengi hujaribu kukwepesha zile siku, wanakutana siku za mwanzo, kama siku7, 8, na 9 lengo waepuke mimba, kadiri zile mbegu zinavyoishi ndan Kwa mwanamke Y nyingi hufa mapema, kadiri siku zinavyoenda panabaki X nyingi, Kwa hiyo mrija wa falopian hufunguliwa na X huingia na binti kupatikana.

Anayetaka mtoto wa kiume, anatakiwa alengeshe exactly mwanamke akiwa kwenye heat period, ili Y zenye speed ziwahi zikute geti wazi zizame moja Kwa moja kwenye mrija wa falopian zirutubishe.

Heaven Sent Kwa taarifa

Nb: njia hii siyo perfect lakin possibility ni above 70%
Nimejaribu kufanya utafiti mdogo, nikagundua watoto wa kwanza wa nje ya ndoa kwa wanaume wengi ni watoto wa kike. Hii inachangiwa na nini? au ni kutokana na ile hofu ya kuchepuka ndipo mbegu za kike hutoka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kufanya utafiti mdogo, nikagundua watoto wa kwanza wa nje ya ndoa kwa wanaume wengi ni watoto wa kike. Hii inachangiwa na nini? au ni kutokana na ile hofu ya kuchepuka ndipo mbegu za kike hutoka?

Sababu kuu iko katika flux differences za sex chromosomes hizi ni X na Y, point iko hapa; Y inakasi kubwa na hufa haraka; X zina kasi ndogo na huchelewa kufa.

Hizi ndizo zinatofautisha jinsia, mwanamke ana XX na mwanaume ana XY, hivyo kupata mtoto wa kiume ni lazima kuwe na Y.

Kupata mtoto wa kike utaitaji X kutoka kwa mama na X kutoka kwa Baba (XX); kupata mwanaume utaitaji X ya mama na Y ya baba (XY);

Hivyo basi kama mwanamke anapata ovulation peak katika siku ya (12-16) ya mzunguko wake wkw ambao wana mzunguko wa siku 28 (ama katika heat period yake) akifanya mapenzi siku hizo hasa ile ya 14 ni rahisi sana kupata mtoto wa kiume (kumbuka Y-chromosome zina kasi na zitawai kufika katika yai la mwanamke na kulichevusha kupata XY).

Akifanya labda siku zile ambazo si za hatari kwake ama zimekaribia i.e siku moja kabla ni rahisi kufikiri yuko salama ila ile X-chromosome inaweza kuwa bado iko hai na kuchevusha yai kupelekea mtoto mwenye XX (KIKE).

Sasa wengi wanaopata watoto wa nje ni kwa sababu mwanamke anakuwa anakutana na mwanaume katika zile siku ambazo yeye anaona kwake ni salama ila kwa sababu ya kasi ndogo ya X- chromosome na kuchelewa kufa mpaka siku yai limeshuka X bado zinakuwa ziko hai na kutunga mimba isiyotarajiwa.
 
Hili ni suala la kibiologia, kisayansi zaid. Ndo sababu hiyo hiyo husababisha wanawake kuwa wengi zaidi duniani kuliko wanaume.

Mwanaume anapokojoa hutoa mbegu za aina mbili x (kike) na Y (kiume) , mbegu hizi hutoka kwa maelefu kwa mkojoo mmoja. Tofauti Kati ya hizi mbegu ni muda wa kudumu, x zinasekana kuwa na maisha marefu zaidi kuliko y, X zinakuwa na protein nyingi, nene na zinakuwa na speed ndogo Sana, Y zina protini kdg, nyepesi na zenye speed ingawa zina maisha mafupi.

Watu wengi hukutana kupata starehe, mtoto anatokeaga bahati mbaya, Kwa hiyo wengi hujaribu kukwepesha zile siku, wanakutana siku za mwanzo, kama siku7, 8, na 9 lengo waepuke mimba, kadiri zile mbegu zinavyoishi ndan Kwa mwanamke Y nyingi hufa mapema, kadiri siku zinavyoenda panabaki X nyingi, Kwa hiyo mrija wa falopian hufunguliwa na X huingia na binti kupatikana.

Anayetaka mtoto wa kiume, anatakiwa alengeshe exactly mwanamke akiwa kwenye heat period, ili Y zenye speed ziwahi zikute geti wazi zizame moja Kwa moja kwenye mrija wa falopian zirutubishe.

Heaven Sent Kwa taarifa

Nb: njia hii siyo perfect lakin possibility ni above 70%

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezakuwa jibu sahihi
 
Sababu kuu iko katika flux differences za sex chromosomes hizi ni X na Y, point iko hapa; Y inakasi kubwa na hufa haraka; X zina kasi ndogo na huchelewa kufa.

Hizi ndizo zinatofautisha jinsia, mwanamke ana XX na mwanaume ana XY, hivyo kupata mtoto wa kiume ni lazima kuwe na Y.

Kupata mtoto wa kike utaitaji X kutoka kwa mama na X kutoka kwa Baba (XX); kupata mwanaume utaitaji X ya mama na Y ya baba (XY);

Hivyo basi kama mwanamke anapata ovulation peak katika siku ya (12-16) ya mzunguko wake wkw ambao wana mzunguko wa siku 28 (ama katika heat period yake) akifanya mapenzi siku hizo hasa ile ya 14 ni rahisi sana kupata mtoto wa kiume (kumbuka Y-chromosome zina kasi na zitawai kufika katika yai la mwanamke na kulichevusha kupata XY).

Akifanya labda siku zile ambazo si za hatari kwake ama zimekaribia i.e siku moja kabla ni rahisi kufikiri yuko salama ila ile X-chromosome inaweza kuwa bado iko hai na kuchevusha yai kupelekea mtoto mwenye XX (KIKE).

Sasa wengi wanaopata watoto wa nje ni kwa sababu mwanamke anakuwa anakutana na mwanaume katika zile siku ambazo yeye anaona kwake ni salama ila kwa sababu ya kasi ndogo ya X- chromosome na kuchelewa kufa mpaka siku yai limeshuka X bado zinakuwa ziko hai na kutunga mimba isiyotarajiwa.
Inawezakuwa jibu sahihi
 
Wakati wanafanya tendo kwa wizi huwa mara nyingi binti anajiaminisha kwamba yuko siku salama na hajaingia hatarishi. Kutokana na mpangilio mbaya wa mzunguko au ikatokea mabadiliko ya ghafla, siku ya hatari inaweza wahi kwa siku moja au mbili. Kwa hiyo badala ya siku 4 labda kuingia hatarini, akiingia siku tatu baada ya sex mimba inayotungwa ni ya kike kwa vile sperm za kike huchelewa na zinadumu zaidi. Za kiume zina haraka na huishiwa nguvu mapema.
 
Wakati wanafanya tendo kwa wizi huwa mara nyingi binti anajiaminisha kwamba yuko siku salama na hajaingia hatarishi. Kutokana na mpangilio mbaya wa mzunguko au ikatokea mabadiliko ya ghafla, siku ya hatari inaweza wahi kwa siku moja au mbili. Kwa hiyo badala ya siku 4 labda kuingia hatarini, akiingia siku tatu baada ya sex mimba inayotungwa ni ya kike kwa vile sperm za kike huchelewa na zinadumu zaidi. Za kiume zina haraka na huishiwa nguvu mapema.
Inawezakuwa ni jibu sahihi
 
Hili ni suala la kibiologia, kisayansi zaid. Ndo sababu hiyo hiyo husababisha wanawake kuwa wengi zaidi duniani kuliko wanaume.

Mwanaume anapokojoa hutoa mbegu za aina mbili x (kike) na Y (kiume) , mbegu hizi hutoka kwa maelefu kwa mkojoo mmoja. Tofauti Kati ya hizi mbegu ni muda wa kudumu, x zinasekana kuwa na maisha marefu zaidi kuliko y, X zinakuwa na protein nyingi, nene na zinakuwa na speed ndogo Sana, Y zina protini kdg, nyepesi na zenye speed ingawa zina maisha mafupi.

Watu wengi hukutana kupata starehe, mtoto anatokeaga bahati mbaya, Kwa hiyo wengi hujaribu kukwepesha zile siku, wanakutana siku za mwanzo, kama siku7, 8, na 9 lengo waepuke mimba, kadiri zile mbegu zinavyoishi ndan Kwa mwanamke Y nyingi hufa mapema, kadiri siku zinavyoenda panabaki X nyingi, Kwa hiyo mrija wa falopian hufunguliwa na X huingia na binti kupatikana.

Anayetaka mtoto wa kiume, anatakiwa alengeshe exactly mwanamke akiwa kwenye heat period, ili Y zenye speed ziwahi zikute geti wazi zizame moja Kwa moja kwenye mrija wa falopian zirutubishe.

Heaven Sent Kwa taarifa

Nb: njia hii siyo perfect lakin possibility ni above 70%

Sent using Jamii Forums mobile app
Aah liroo kumbe ulisoma biology eeh; mwenzako niliichukua tu
 
Back
Top Bottom