Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Si kwamba nakutisha la hasha hiyo ndio hali halisi ..yawezekana we unaesoma hapa mama ndie anaejua babako halisi ni nani...kwa kuwapasha tu ndoa nyingi sasa wanawake wanaingia na mimba makanisani nimeosma mada moja nkacheka sana labda niwajuze hili linatokana na wanaume wengiwanataka kuingia ndoani wakiwa na watoto sasa basi mwanmke akijua tatizo la huyu ni mtoto basi ni muda anapoamua kuzaa na anaempenda na hapo unakuta bfriend wake wa zamani ama kigogo ama kibosile wa serikalini mwenzio anaendelea kula fedha kila mwezi baada ya kujifungua we unachakarika kununua serelaki za kuchakachuliwa kariakoo....kwa kifupi watoto wengi walio kwenye ndoa WAMECHAKACHULIWA na siri hiyo anayo mama yao mzazi pekee tu...si nakutisha ila huu ndio uhlisia halisi na wengine wamekuja kujua baada ya mttoto kuwa na miaka 10-15 utafanyaje zaiidi ya kumwachia MUNGU na kutarajia siku na yeye akutunze na babake halisi
Sina nia ya kukwambia usioe ama lah ila Mwombe Mungu sana watoto wengi wa ndoa wamechakuchuliwa now days
Sina nia ya kukwambia usioe ama lah ila Mwombe Mungu sana watoto wengi wa ndoa wamechakuchuliwa now days