JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Wataalamu wa Saikolojia wanashauri kuwa ukiona mtoto amefanya tabia hatarishi katika kijikinga na #coronavirus usikae kimya wala usichukue uamuzi usiofaa.
Unashauriwa utulie kwa kidogo kisha umuite na umrekebishe kwa kutumia lugha rafiki pasipo kumfokea.
Inaelezwa kuwa kufanya hivi kunamsaidia mtoto kuelewa ujumbe vyema na kutorudia tabia hiyo hatarishi