watoto wao wanawaingiza nafasi nzuri BOT. TRA, NHIF n.k, wanatuambia sisi tujiajiri

Jamani sasa kila mtu akitaka bot hata ww ungekuwa pale wengine wangelalamika kama ww muhimu kuwa hata mwalimu na uwaandalie wanao maisha mazuri wasije kulalamika kama ww

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mdau nakusupport..Mwingine mtoto wa shemeji yake yuko PSPF anakula bata,mwanae wa kike yupo ofis ya Takwimu ful kamilione kadogo with mjengo wa ukweeel bunju-i mean wa kwake mwenyewe c wa mume..mwingine yupo cjui wizara ya afrika mashariki kasoma Law mzumbe..chezeaaaaa kuazliwa familia zeye pesa..sisi ndo tukafuge kuku
 
masikin cku hiz na vidgree vyetu tunaishia kuwa waalimu , kwenye nafasi nyingine kama huna mjomba huko imekula kwako. Watakuambia jiajira wakati watoto wakimaliza chuo ni BOT, Tra, nhif. Pspf, ewura n.k

Angalia haya majina mkuu

Pamela lowasa, Filbart Sumaye, Zaria kawawa, Herieth Lumbanga, Salama Mwinyi, Rechal Muganda, Salma Mahita, Justina Mungai, Keneth Nchimbi, Blasia W. Mkapa, Vaoleth Luhanjo, Liku kate kamba, Thomasi Mongela, Jabiri Kigoda - Hii ndo timu ya wana wa Vigogo walioajiriwa BOT (BENKI YA TANZANIA) tena wengi kwa vyeti feki.
 
Angalia haya majina mkuu

Pamela lowasa, Filbart Sumaye, Zaria kawawa, Herieth Lumbanga, Salama Mwinyi, Rechal Muganda, Salma Mahita, Justina Mungai, Keneth Nchimbi, Blasia W. Mkapa, Vaoleth Luhanjo, Liku kate kamba, Thomasi Mongela, Jabiri Kigoda - Hii ndo timu ya wana wa Vigogo walioajiriwa BOT (BENKI YA TANZANIA) tena wengi kwa vyeti feki.

kwa hili naunga mkono hoja 100%
 
Kiongoz et ana promote kujiajiri.haina shida toeni mitaji watu wajiajiri.mnataka watu wakajiuze.pumbavu sana yan mkikaa mnawaza usnge tu maana kila kitu kubebana.tendeni haki muone tutakavowatoa knok out watoto wenu kwenye ma interview.koz ni vilaza tosha.et mjiajiri....wewe umejiajiri?...kudadeki.
 
Mwanangu hiyo list kuna mwaka walipelekwa kisutu kwa kufoji vyeti huyo mtoto wa mungai hapo alikuwepo ndani ya nyumba na bado wanapiga kazi BOT hao watu,yani hakuna interview iliyonikera kama ya TRA pale msimbaz mwez novemba mwaka jana na desemba pale IFM ya nssf inauma sana ss hawa jamaa tuwafanye nini?
 
Back
Top Bottom