​Imekuwa siyo jambo geni kwa wazazi kulalamika kuhusiana na watoto wao ambao wakiona wazazi wana nyumba mbili au tatu na wamestaafu kazi na mbaya zaidi kama mmoja wa wazazi amefariki basi watoto watafanya kila visa kwa wazazi mfano;kuwalazimisha kwenda kuishi nje ya mji au kijijini kwenye mazingira magumu maana wastaafu wengi wanakuwa wameishazoe mjini, sasa wakiona inashindikana wanaona bora kuwauwa.,
hapa mjini vijana wengi hawajitumi ila kila kukicha wanaomba wazazi wao wafariki ili wagawane/warithi mali mfano vijana wa sinza,magomeni,buguruni,upanga,masaki,mikocheni nk.
source:ITV
hapa mjini vijana wengi hawajitumi ila kila kukicha wanaomba wazazi wao wafariki ili wagawane/warithi mali mfano vijana wa sinza,magomeni,buguruni,upanga,masaki,mikocheni nk.
source:ITV