Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,944
- 12,873
Umeshakuwa Rev!!!!!
Unao Uhakika?Ndugu uko sawa kabisa ila kwa MTU asiye na busara ataishia kupinga na kutukana. Kinachoniuma zaidi kwenye familia mnazaliwa watu 10 kila MTU na sura yake lakin wachina wakorea mbona wao wanafanana
So wanaofanana hawazid wawili? Wakizid unakuja kuifuta kauli au?Watu hufanana sana kwa sura ndo maana tunaambiwa duniani wawilii wawilii ,acha zako wewe
Kweli Mkuu umenifungua kitu leo1. Baba yako ana watoto 10 na kila mtoto ana mama yake, ona kazi ya Mungu ilivyo, watoto wote lazima wafanane na Baba yao. D.N.A ya kazi gani wakati Mungu amedhihirisha kazi yake.
2. Mama yako ana watoto 10 kila mtoto na Baba yake, chakushangaza kila mtoto atakuwa na sura yake yaani kila mtoto atafanana na baba yake halisi. Kazi ya Mungu haina mapungufu, D.N.A ya nini wakati mambo hadharani.
3.Kunatofauti kubwa sana kati ya Baba Mzazi na Baba wa D.N.A
4. Mnapotegeshewa mimba msikimbilie D.N.A kimbilieni maumbile ya Mungu na ndio maana wengi wanalea watoto wasio wao.
Na kufarijiana eti kitanda hakizai haramuu.
Bado naendelea na utafiti wangu.
Rev. Deogratius Kisandu
The Kisandu Organisation
23 Desemba 2016
Kamlenga faru J nyuma ya paziaMods na hii ni habari ya siasa?
Asante pastor, I wish ningekuwa mkeo ningemtafuta dume linaloshabihiana na wewe nikuletee baby boy fasta.
Umemdanganya shemeji, kumbe mtoto sio wake?..naenda kukusemeaWatu hufanana sana kwa sura ndo maana tunaambiwa duniani wawilii wawilii ,acha zako wewe
Asante pastor, I wish ningekuwa mkeo ningemtafuta dume linaloshabihiana na wewe nikuletee baby boy fasta.
Ndugu uko sawa kabisa ila kwa MTU asiye na busara ataishia kupinga na kutukana. Kinachoniuma zaidi kwenye familia mnazaliwa watu 10 kila MTU na sura yake lakin wachina wakorea mbona wao wanafanana
Teh teh teh!!Umemdanganya shemeji, kumbe mtoto sio wake?..naenda kukusemea
Nafikiri hujanielewa, hujawahi kuona mtu wa mbali kabisa amefanana kabisa na mtu unayemjua na hawana hata undugu, kwa hiyo watakuwa wa baba mmoja au?? Na kwenye familia sio lazima watoto wote wafanane na baba ndo awe wa kwake kwa hiyo akifanana na mama sio wake!!!So wanaofanana hawazid wawili? Wakizid unakuja kuifuta kauli au?
Wewe umefanana na baba yupi kati ya hao uliowataja?1. Baba yako ana watoto 10 na kila mtoto ana mama yake, ona kazi ya Mungu ilivyo, watoto wote lazima wafanane na Baba yao. D.N.A ya kazi gani wakati Mungu amedhihirisha kazi yake.
2. Mama yako ana watoto 10 kila mtoto na Baba yake, chakushangaza kila mtoto atakuwa na sura yake yaani kila mtoto atafanana na baba yake halisi. Kazi ya Mungu haina mapungufu, D.N.A ya nini wakati mambo hadharani.
3.Kunatofauti kubwa sana kati ya Baba Mzazi na Baba wa D.N.A
4. Mnapotegeshewa mimba msikimbilie D.N.A kimbilieni maumbile ya Mungu na ndio maana wengi wanalea watoto wasio wao.
Na kufarijiana eti kitanda hakizai haramuu.
Bado naendelea na utafiti wangu.
Rev. Deogratius Kisandu
The Kisandu Organisation
23 Desemba 2016