MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,472
- 8,692
Ukisoma Maendeleo ya nchi kama Korea Kusini ambao juzi kati wakati tunapata uhuru tulikuwa almost the same.
Ila Korea Kilichowafanya watupuge bao ni uwekezaji wao mkubwa sana kwenye elimu ambapo ndio leo hii wanatuundia simu bora kabisa Duniani.
Huku kwetu tumekuwa tunashangilia kuahidiwa Barabara, Majosho ya Mifugo, Maji huku vitu muhimu sana kama elimu ikiwa hoi.
Kwa Speed hii ya Sayansi ya Dunia na Elimu yetu ilivyo tutapata shida sana.
Watoto wako Urithi Bora kwa Dunia ya sasa ni Elimu na sio mabomba ya maji wala Barabara.
TUKATAE AHADI ZA KIJINGA TUTAKE AHADI ZENYE FEATURE KWA VIZAZI VILIVYOPO NA VIJAVYO
Ila Korea Kilichowafanya watupuge bao ni uwekezaji wao mkubwa sana kwenye elimu ambapo ndio leo hii wanatuundia simu bora kabisa Duniani.
Huku kwetu tumekuwa tunashangilia kuahidiwa Barabara, Majosho ya Mifugo, Maji huku vitu muhimu sana kama elimu ikiwa hoi.
Kwa Speed hii ya Sayansi ya Dunia na Elimu yetu ilivyo tutapata shida sana.
Watoto wako Urithi Bora kwa Dunia ya sasa ni Elimu na sio mabomba ya maji wala Barabara.
TUKATAE AHADI ZA KIJINGA TUTAKE AHADI ZENYE FEATURE KWA VIZAZI VILIVYOPO NA VIJAVYO