Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,145
Hivi wanaume wenzangu hatuwe kumsaidia mtoto wa kike bila kumuomba mbususu jamani
Maana watoto wengi wa kike wakitaka kupata kazi basi watoe mbususu haya atakayekuja kumuoa ataikuta ikiwa na hali gani?
Mfano wasanii wa kike wengi wanapitia hayo na sasa tunaona kwa konde boy alichokifanya kwa Anjella
Alijidai anamsaidia atampeleka India kutibiwa matokeo yake hakuna alichoambulia zaidi ya mimba na kupokonywa vitu vyake vyote
Mimi kwa hili big no hata mtoto wangu wa kike akiwa anapenda sanaa hapana hapana siwezi vumilia kuona hayo yakitokea
Maana watoto wengi wa kike wakitaka kupata kazi basi watoe mbususu haya atakayekuja kumuoa ataikuta ikiwa na hali gani?
Mfano wasanii wa kike wengi wanapitia hayo na sasa tunaona kwa konde boy alichokifanya kwa Anjella
Alijidai anamsaidia atampeleka India kutibiwa matokeo yake hakuna alichoambulia zaidi ya mimba na kupokonywa vitu vyake vyote
Mimi kwa hili big no hata mtoto wangu wa kike akiwa anapenda sanaa hapana hapana siwezi vumilia kuona hayo yakitokea