Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,903
- 32,312
Mbona anafanana na binti machozi?
Kumbe sio watoto wa Wasira bana.
kumbe sio watoto wa wasira bana.
Haya maneno muwe mnayatamka taratibu. Ina maana huyu binti hana uasili (Gene) wa kina Wasira? Kutokufanana na Steven kuna maanisha nini. Au unamaanisha George ali... aende TBS kutafuta uhalali??Post deleted
Paw
Dr. Wassira aka mtemi wa Mahale Pangua hoja hiyo.......watoto wa kaka yako ni nani kwako?
Sisi yetu mambo ila mimi naungana na hao mabinti kuwa "Chadema ni maarufu kuliko CCM kwa Sasa"
Mzee Wasira hayuko sawa sawa...soemthing is missing somewhere.
Kumbe sio watoto wa Wasira bana.