Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Asante sana Esther Wasira 0655 048797 kwa ufafanuzi
..
Mhhhhhh!!!!
Asante sana Esther Wasira 0655 048797 kwa ufafanuzi
..
Mbona anafanana na binti machozi?Asante sana Esther Wasira 0655 048797 kwa ufafanuzi
kama umri wao unaruhusu
kugombea ningeshauri mmoja wao agombee jimbo la steven wasira'yule mzee
anatakiwa kupotea katika ulimwengu wa siasa
kama umri wao unaruhusu kugombea ningeshauri mmoja wao agombee jimbo la steven wasira'yule mzee anatakiwa kupotea katika ulimwengu wa siasa
Kumbe sio watoto wa Wasira bana.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI KUHUSU SISI KUJIUNGA NA CHADEMA NA MALUMBANO KUHUSU MAJINA YETU
Tarehe 30/09/2012 mimi Esther Wasira na dada yangu Lilian Wasira
mmeshakua mastar overnigh.shikilieni hapohapo maana hamtakosa hata ubunge wa kuteuliwa.
Maisha yamekua magumu na bila ubunifu lazima ile kwako.