Watoto wa wagombea urais kwa tiketi ya CCM 2005 ni wapinzani?

Hasara

Senior Member
Dec 29, 2006
138
9
Baada ya sereikali ya Tanzania kuwa na kiongozi mpya wa nchi familia za wangombea urais kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM wamejikuta kama wakimbizi na wapinzani kwenye nchi yao na wale walioko nchi za nje nitabu sana kwenda kumsalimia rais wao,

wanamtandao wanawabagua kwa kiwango kikubwa sana na kukosa raha kwa wale tunao wafahamu,

Mimi nina omba kuuliza hii ni haki?
 
Baada ya sereikali ya Tanzania kuwa na kiongozi mpya wa nchi familia za wangombea urais kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM wamejikuta kama wakimbizi na wapinzani kwenye nchi yao na wale walioko nchi za nje nitabu sana kwenda kumsalimia rais wao,

wanamtandao wanawabagua kwa kiwango kikubwa sana na kukosa raha kwa wale tunao wafahamu,

Mimi nina omba kuuliza hii ni haki?

Kwani lazima wakamsalimie? Mbona wengine hatuenda kumsalimia, je tumekosa nini?

Ubabaishaji tu na usanii, kwenda kuongea na rais na kupata picha za kutamba nazo kwa washikaji.
 
Baada ya sereikali ya Tanzania kuwa na kiongozi mpya wa nchi familia za wangombea urais kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM wamejikuta kama wakimbizi na wapinzani kwenye nchi yao na wale walioko nchi za nje nitabu sana kwenda kumsalimia rais wao,

wanamtandao wanawabagua kwa kiwango kikubwa sana na kukosa raha kwa wale tunao wafahamu,

Mimi nina omba kuuliza hii ni haki?

Siyo haki hata kidogo...

Lakini waambie wasikonde bure, matatizo kama hayo yanawakuta Watanzania asilimia kubwa tu hapa nchini, wengine hata kuwaona wabunge wao tu ni vigumu kwani katika familia zao kuna watu walio jitokeza kuwania ukada chini ya vya upinzani wakashindwa na wenye bahati kushinda... hivyo familia zao zinakuwa doomed regardless, so to boot!

Hasara, pia waambie wajiunge na JamboForums kwani naamini upweke wa kubaguliwa utapungua! Pia waambie familia zao zizidi na mlengo huo huo badala ya kusalim amri, zikaze uzi ili wazazi wao au ndugu zao wajiandae kugombea tena urais kwenye chaguzi zijazo.
Sina mengi zaidi ya haya. Ahsante.


SteveD.
 
Siyo haki hata kidogo...

Lakini waambie wasikonde bure, matatizo kama hayo yanawakuta Watanzania asilimia kubwa tu hapa nchini, wengine hata kuwaona wabunge wao tu ni vigumu kwani katika familia zao kuna watu walio jitokeza kuwania ukada chini ya vya upinzani wakashindwa na wenye bahati kushinda... hivyo familia zao zinakuwa doomed regardless, so to boot!

Hasara, pia waambie wajiunge na JamboForums kwani naamini upweke wa kubaguliwa utapungua! Pia waambie familia zao zizidi na mlengo huo huo badala ya kusalim amri, zikaze uzi ili wazazi wao au ndugu zao wajiandae kugombea tena urais kwenye chaguzi zijazo.
Sina mengi zaidi ya haya. Ahsante.


SteveD.

Haina haja ya kuonana nao...........kinacho matter ni wajibu wao wa kazi!!kama ni mzuri basi, kuwaona wa nini kwani wao wamekuwa vimungu mtu...? hao jamaaz wanalilia "photo op" na prez ili wazitume kwa michuzi,sijui hata maana yake ni nini? aaaaaaaaaaagh yuk!!!!!!!!.
 
Siyo haki hata kidogo...

Lakini waambie wasikonde bure, matatizo kama hayo yanawakuta Watanzania asilimia kubwa tu hapa nchini, wengine hata kuwaona wabunge wao tu ni vigumu kwani katika familia zao kuna watu walio jitokeza kuwania ukada chini ya vya upinzani wakashindwa na wenye bahati kushinda... hivyo familia zao zinakuwa doomed regardless, so to boot!

Hasara, pia waambie wajiunge na JamboForums kwani naamini upweke wa kubaguliwa utapungua! Pia waambie familia zao zizidi na mlengo huo huo badala ya kusalim amri, zikaze uzi ili wazazi wao au ndugu zao wajiandae kugombea tena urais kwenye chaguzi zijazo.
Sina mengi zaidi ya haya. Ahsante.


SteveD.

Heshima mkuu baada ya uchanguzi kwisha zimeanza chuki binafsi nyingi kati ya wagombe na familia zao zikiwemo za Wabunge, Madiwani, Urais, na nafasi nyingine za kiserekali basi waliyoko madarakani kwa sasa inakuwa vingimu kuwasikiliza watoto hao zaidi wanamtandao,

MKUU HANA SHIDA-ruksa kumuona- NI WASAIDIZI WAKE KUMPELEKA MTOTO WA ALIYE KUWA MGOMBEA HAWATAKI, wasaidizi wakimuona mtoto wa haina hiyo basi wanaanza kuulizana ametumwa au nini, majibu atakayo pata siyo mazuri lakini yanarithisha ili uondoke,
Sisi tuwasaidieje hawa watoto ili sauti zao zisikike?

imekuwa vingu hata kupata mialiko ya kichama na serekali wanajiuliza hili jina mkuu akiliona itakuwa basi wanaacha, kumualika mtu kutoka katika hizo familia .
jamani hebu tulijadili hili kwa kina kwasababu ni watanzania na wana haki na nchi yao na viongozi wao aliyeshinda ni kiongozi wa wote waliyo mchangua na wale ambao hawakumpa kura zao.

kama unamjua mtoto au familia kama hii tufahamishe mara moja hapa ili tuweza kuwasaidia.

asante
 
Heshima mkuu baada ya uchanguzi kwisha zimeanza chuki binafsi nyingi kati ya wagombe na familia zao zikiwemo za Wabunge, Madiwani, Urais, na nafasi nyingine za kiserekali basi waliyoko madarakani kwa sasa inakuwa vingimu kuwasikiliza watoto hao zaidi wanamtandao,

MKUU HANA SHIDA-ruksa kumuona- NI WASAIDIZI WAKE KUMPELEKA MTOTO WA ALIYE KUWA MGOMBEA HAWATAKI, wasaidizi wakimuona mtoto wa haina hiyo basi wanaanza kuulizana ametumwa au nini, majibu atakayo pata siyo mazuri lakini yanarithisha ili uondoke,
Sisi tuwasaidieje hawa watoto ili sauti zao zisikike?

imekuwa vingu hata kupata mialiko ya kichama na serekali wanajiuliza hili jina mkuu akiliona itakuwa basi wanaacha, kumualika mtu kutoka katika hizo familia .
jamani hebu tulijadili hili kwa kina kwasababu ni watanzania na wana haki na nchi yao na viongozi wao aliyeshinda ni kiongozi wa wote waliyo mchangua na wale ambao hawakumpa kura zao.

kama unamjua mtoto au familia kama hii tufahamishe mara moja hapa ili tuweza kuwasaidia.

asante

Nimekusikia pia Ndg. Hasara,
Ndiyo maana nikasema kama wapo ni bora wajiunge na forum hii, nina imani wote wanajua kusoma na kuandika wote, hivyo kama unayoyasema yamewakuta basi hawana budi wajiunge hapa walau kwa majina ya 'ki-forum', maana majina halisia yanaweza kuleta matatizo ya aina yake tena.

Ahsante kwa kuuliza kama wapo ninaowafahamu; jibu lake kwa kweli ni kuwa wapo wengi tu, lakini uzuri wote ninaowafahamu hawana matatizo ya kuelemea au kunyanyasika na vimbwega vya wakubwa, ni watu mahili tu wanaofanya mambo yao kutokana na merits zao.

Hata hivyo nawaonea pole hao wanaojisikia wanyonge na wenye kunyanyasika kwa kukosa haya na yale kutokana tu na majina yao. Ni usia wangu tu tena nitakao urudia, WASIFEDHEHEKE BURE, WAJIDHATITI WAO NA FAMILIA ZAO KWA AJILI YA CHAGUZI ZIJAZO.

Mtu kama hakukaribishi ni bora kuachana naye, kujibaraguza na kujipendekeza kutazaa matunda mabovu, tena miye naona wanabahati kinamna fulani, maana walau wanafahamu kuwa kiongozi fulani au viongozi fulani hivi wanatuchukia sisi na mama/baba yetu... hivyo they can really prove the other part wrong and do things to their advantage if they do so wish, since they'll fully be equipped with the awareness of their surroundings. You know the adage - knowledge is power! Knowing that somebody despises you is power against the same person in my opinion.

SteveD.
 
ningeshauri tujaribu kudiscuss mambo muhimu ya kulisogeza taifa mbele, na sio mambo ya ccm vs wapinzani ! nimerudi !
 
mkuu tunakupongeza kwa kurudi, na walaaniwe waliokuban, ati umetumia haki yako ya kidemokrasia kueleza hisia zako.
 
Me naona hakuna umuhimu wowote wa kumuona Rais kama kuna jambo muhimu utapita ngazi na utaratibu uloowekwa vinginevyo wasaidi wake wapo utawaona ama kwa suala la kumsalimia tu ah sioni kuna big issue, hata hivyo mbona kuna waliogombea na wamo ktk uwaziri? tuwache chuki binafsi, au mlikua family friend?
 
Hao watoto nao si watanzania kama sisi?kwa nini wao wawe na nafasi ya kumwona rais zaidi ya wengine?

Kama wamezoea kupendelewa naona bora waachane na hizo tabia ila watumie nguvu zao na akili zao kama wanazo kwa ajili ya kujitegemea na sio kulialia kila siku.
 
mkuu tunakupongeza kwa kurudi, na walaaniwe waliokuban, ati umetumia haki yako ya kidemokrasia kueleza hisia zako.

What?! :(

Mtu wa Pwani vipi tena, unataka JF management ilaaniwe na hivyo kutoweka hewani kutokana na Kada tu kufungiwa kwa siku moja?! Naomba ueleze tafadhali, je unataka walio m-ban Kada walaaniwe na kuwa vipi?! Maana wanao mban mtu hapa ni management ya JF, Mbona itasikitisha sana kuona kuwa JF inaanza kulaaniwa kutokana na member kukiuka sheria mojawapo na hivyo kuwa banned.

SteveD.
 
Baada ya sereikali ya Tanzania kuwa na kiongozi mpya wa nchi familia za wangombea urais kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM wamejikuta kama wakimbizi na wapinzani kwenye nchi yao na wale walioko nchi za nje nitabu sana kwenda kumsalimia rais wao,

wanamtandao wanawabagua kwa kiwango kikubwa sana na kukosa raha kwa wale tunao wafahamu,

Mimi nina omba kuuliza hii ni haki?
Mbona Watanzania wengi tu hatujawahi kumuona Rais wetu live kwani tumepungukiwa nini? Kwenda kumsalimia Rais ili iweje? Walizoea kupiga picha na Kikwete ili watusumbue kitaa,zama hizi ni tofauti mkuu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom