Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 141
- 8
Baada ya sereikali ya Tanzania kuwa na kiongozi mpya wa nchi familia za wangombea urais kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM wamejikuta kama wakimbizi na wapinzani kwenye nchi yao na wale walioko nchi za nje nitabu sana kwenda kumsalimia rais wao,
wanamtandao wanawabagua kwa kiwango kikubwa sana na kukosa raha kwa wale tunao wafahamu,
Mimi nina omba kuuliza hii ni haki?
wanamtandao wanawabagua kwa kiwango kikubwa sana na kukosa raha kwa wale tunao wafahamu,
Mimi nina omba kuuliza hii ni haki?