Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,592
- 29,711
kuna wataalam wanaiondoa hoja taaratib kuipeleka kusiko,
hapa tunajadili watoto wa wakubwa na wengine wanajadili upedeshee ktk JF hahahaha. enewei ntashangaa kama hatutamjadili pia ridhwani ambaye anafukuzia mwaka 2025 kumrithi baba yake. kwa hiyo mie nitakosa nafasi ya ukuu wa kaya kwa kuwa mdingi wangu siyo kizito???
hapa tunajadili watoto wa wakubwa na wengine wanajadili upedeshee ktk JF hahahaha. enewei ntashangaa kama hatutamjadili pia ridhwani ambaye anafukuzia mwaka 2025 kumrithi baba yake. kwa hiyo mie nitakosa nafasi ya ukuu wa kaya kwa kuwa mdingi wangu siyo kizito???